• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RAS Pwani apongeza Ushiriki wa Jamii utekelezaji Miradi Mkuranga

Posted on: May 4th, 2023

Katibu tawala Mkoa wa Pwani Rashid Mchata amepongeza jitihada za wananchi kuchangia na kushiriki katika usimamizi wa ujenzi wa miradi katika maeneo yao.

Mchata alitoa pongezi hizo wakati alipotembelea wilaya ya Mkuranga leo Mei 4, 2023 na kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea kujengwa kutokana na fedha kutoka halmashauri ya wilaya, wadau wa maendeleo na nguvu za wananchi.

Miradi aliyoitembelea ni paoja na ujenzi wa kituo cha afya Nyamato inayojengwa kwenye kijiji cha Mvuleni pamoja na shule ya Sekondari Kilimahewa inayojenga kwenye kijiji cha Kilimahewa Kaskazini Kata ya Kimanzichana.

Mchata alivutiwa na akapongeza ari ya wananchi kujitolea ambapo katika kituo cha Afya Nyamato wananchi wamechangia nguvu zao kushiriki kutekeleza ujenzi huo, kununua eneo lenye ukubwa wa ekari nne na baadhi yao ni wanakamati ambao wameonesha usimamia vizuri taratibu za ujenzi.

Katika taarifa ya ujenzi wa kituo cha afya Mkanoge iliyosomwa na msimamizi wa mradi huo Abasi Ally Mbwana, mradi huo utagharimu zaidi ya shilingi milioni 400 na tayari majengo matatu ya OPD, maabara na la upasuaji yako kwenye hatua za mwisho za ukamilishaji.

Mbwana alieleza kuwa kituo hicho kinatarajiwa kuhudumia wakazi wapatao 15,111 wa vijiji saba vinavyounda kata hiyo ambavyo ni Mkiu, Nyanduturu, Kilimahewa kusini, Kiramba, Tipo, Mkanoge na Mvuleni.

Kwa upande wa ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Kilimahewa ambayo tayari madarasa saba yenye madawati yamekamilika, wananchi wamechangia zaidi ya shilingi milioni 11, wametoa eneo la ujenzi bila kudai fidia yoyote, wamepanda miti kuhifadhi mazingira na kushiriki katika ujenzi.

Pamoja na pongezi hizo, Mchata alisisitiza wananchi hao kuzingatia kuweka sawa nyaraka za manunuzi na za malipo mbalimbali, kupima maeneo yenye miradi ya serikali na kuwa na hati, kupanda miti ya matunda na ya vivuli.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.