• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Apongeza Mradi wa Kivuko wa Zaid ya Biliono 9 Mafia

Posted on: September 29th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amepongeza maendeleo ya mradi wa Kivuko cha Nyamisati-Mafia, unaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 9. Kivuko hicho kinatengenezwa na kampuni ya Dar es Salaam Merchant Group (DMG) katika eneo la Kimbiji, wilayani Kigamboni.

Kunenge alitoa pongezi hizo Sept 28 ,2024 wakati wa ziara yake ya kukagua hatua za utengenezaji wa kivuko hicho.

Alisisitiza umuhimu wa kivuko hicho kukidhi mahitaji ya wananchi kwa kuzingatia ubora na viwango vinavyohitajika.

"Tumekuja kujua matengenezo yamefikia hatua gani na kuhakikisha ubora na viwango vinakidhi mahitaji ya wananchi," alisema Mhe. Kunenge.

Pia, alitoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuona umuhimu wa kivuko hicho kwa wakazi wa Mafia na kutoa zaidi ya bilioni 9 kwa ajili ya utengenezaji wake.

"Awali, mradi ulitengewa bilioni 5, lakini kutokana na umuhimu wa kivuko hicho, Rais aliongeza fedha hadi kufikia zaidi ya bilioni 9 ili kuhakikisha kivuko kinajengwa kwa ubora unaohitajika," aliongeza Kunenge.

Baada ya ukaguzi, Kunenge aliagiza mkandarasi kuandaa ratiba mpya itakayowezesha kufanya ukaguzi wa maendeleo ya utengenezaji kulingana na ratiba hiyo.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji na Ujenzi wa Vivuko kutoka TEMESA, Injinia Lukombe Kingombe, alisema kivuko hicho kitakapokamilika kitakuwa na uwezo wa kubeba abiria 300, magari 10, na mizigo yenye uzito wa zaidi ya tani 120.

Nae Mbunge wa Mafia, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Elimu, Mhe. Omary Kipanga, alitoa shukrani kwa Rais Samia kwa kutoa fedha kwa ajili ya kivuko hicho, ambacho tayari kimekamilika kwa asilimia 35 ya utengenezaji.

Kivuko cha Nyamisati-Mafia kitakapokamilika kitasaidia kutatua changamoto za usafirishaji kwa wananchi wa Mafia. Kivuko hicho kitakuwa na uwezo wa safari ya masaa matatu kutoka Nyamisati hadi Mafia, pamoja na kuwa na huduma kama sehemu ya kusafirishia maiti, huduma ya kwanza, vyoo, sehemu ya kuhifadhia mizigo ya abiria, na eneo la kulia chakula.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.