• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge Aahidi Kuborezsha Huduma za Afya kwa Wazee.

Posted on: October 3rd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema kuwa lengo la Serikali ya Awamu ya Sita ni kuweka mikakati madhubuti ya kuboresha huduma za afya kwa wazee, ikiwa ni pamoja na kuwapatia vitambulisho maalum vitakavyowasaidia kutambulika wanapokwenda kupata matibabu na huduma nyingine za msingi wanazostahili.

Kunenge alitoa kauli hiyo Oktoba 2,2024,  wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yaliyofanyika katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha, na kuhudhuriwa na wazee mbalimbali pamoja na viongozi wa serikali, dini, na vyama vya siasa.

Alieleza kuwa anatambua mchango mkubwa wa wazee wa Mkoa wa Pwani na ana imani wanaweza kumsemea mazuri Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa aliyofanya katika kuboresha sekta mbalimbali, ikiwemo utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayolenga kuinua maisha ya wananchi wa mkoa huo.

"Mimi kama Mkuu wa Mkoa wa Pwani nimefarijika sana kuwa nanyi katika siku hii muhimu ya maadhimisho ya wazee. Ninawaomba tumpe ushirikiano wa kutosha Rais wetu, kuhakikisha tunamlinda na kumtetea kwa yale yote mazuri anayoyafanya kwa ajili ya nchi hii. Ameweza kutenga fedha nyingi ambazo zimeleta matokeo chanya, hususan katika Mkoa wa Pwani, ikiwemo uongozi wa viwanda nchini," alisema Kunenge.

Aliendelea kufafanua kuwa wazee wa Mkoa wa Pwani wana busara nyingi na wanapaswa kumfariji Rais ili aendelee kuwatumikia wananchi kwa ufanisi. Pia aliahidi kuwaandalia ziara kwa wazee hao kutembelea miradi ya kimkakati ili waweze kujionea na kujifunza kuhusu mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia.

Kunenge aliwahimiza wazee kuweka misingi imara ya kumsapoti Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumlinda, kumtunza, na kumtetea katika juhudi zake za kuwatumikia wananchi na kuendeleza miradi ya maendeleo.

Kwa upande wao, baadhi ya wazee, akiwemo Rose Lwanda, Katibu wa Baraza la Wazee katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha, waliishukuru serikali lakini walionyesha changamoto ya kutoingizwa kwenye mfumo wa TASAF. Wazee hao waliiomba serikali kuangalia suala hilo ili waweze kupata fursa ya msaada wa TASAF.

Aidha, wazee hao waliiomba serikali kuanzisha mfumo mzuri wa vikundi vya wazee ili waweze kupata mikopo kwa urahisi, jambo litakalowawezesha kujikwamua kiuchumi. Pia walitaka kushirikishwa katika vikao vya maendeleo ili kutoa mawazo yao kwa ajili ya ustawi wa jamii.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88