• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge aiagiza halmashauri ya Rufiji Kujibu hoja ambazo hazijafungwa kabla ya June 30

Posted on: June 15th, 2021

MKuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge ameiagiza Halmashauri ya Rufiji kutoa majibu kuhusiana na hoja za ukaguzi wa hesabu ambazo hazijafungwa hadi sasa kabla ya June 30.

Kunenge ametoa maagizo hayo  Juni 15 kwenye baraza maalumu la Madiwani wa Halmashauri ya Rufiji la kujadili taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali kwa mwaka 2019/2020.

Taarifa ya maagizo hayo imetolewa na mkuu wa Wilaya ya Rufiji Kanal Patrick Sawala kwa niaba ya Mkuu huyo wa Mkoa wa Pwani.

"Kuna baadhi ya hoja ambazo ziko ndani ya uwezo wa Halmashauri na hazijafungwa hadi sasa, zote hizo zinatakiwa kutolewa sababu za kuchelewa kabla ya kuanza mwaka mwingine wa ukaguzi haujaanza; hoja hizo zinatakiwa kutolewa maelezo ya kutosha ili Mkaguzi wa hesabu azifunge," amesema Kunenge.

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa ameagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu na zilingane na ukubwa wa hasara kwa mtumishi yeyote aliyesababisha hasara kwa Halmashauri.

"Kwenye taarifa yenu nimeona kuna watumishi wamekusanya fedha bila kuzifikisha benki kiasi cha Shilingi 189,249,365 ninaagiza fedha hizo zirudishwe kabla ya June 30 na watumishi husika wachukuliwe hatua" alisisitiza.

Wakati huo huo Kunenge ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuchunguza na kuchukua hatua kwahoja ambazo hazijafungwa hadi sasa na taarifa ifike ngazi ya mkoa kabla ya June 19.

Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Mwanaasha Tumbo amewataka watumishi kufuata kanuni, taratibu na kanuni miongozo kuepuka kuobua hoja mpya.

Tumbo amesema kama Halmashauri inapata hati safi hakuna sababu ya kuwa na hoja ambazo hazijajibiwa.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji Juma Ligomba amemuomba Katibu Tawala wa Mkoa huo kufanya utaratibu wa kuongezewa mkaguzi wa hesabu kwani kitengo hicho kina mtumishi mmoja.

Ligomba amesema kwa miaka tisa mfululizo Halmashauri hiyo imekuwa ikipata hati safi.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.