• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge aitaka halmashauri ya Kisarawe kufunga hoja kabla ya June 30

Posted on: June 16th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amewaelekeza Madiwani wa Halmashauri ya Kisarawe pamoja na watumishi kuhakikisha wanashirikiana katika utekelezaji wa mipango inayowekwa ili kufikisha huduma stahiki kwa wananchi.

Kunenge ameyasema hayo akiwa katika baraza maalumu la Madiwani wa Halmashauri hiyo la kujadili taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG).

Amesema haiwezekani kukawa na ufanisi kama hakutakuwa na ushirikiano kati ya Madiwani na watumishi.

Akiwa katika Halmashauri hiyo Kunenge ametoa maagizo kwa Halmashauri hiyo kuhakikisha wanafunga hoja za ukaguzi.kabla ya June 30.

Mkuu huyo wa Mkoa pia ameagiza madeni yakusanywe ndani ya muda ili kufanya utekelezaji wa mipango iliyolengwa.

Amesisitiza pia utendaji wa haki kwa aliyehusika kuzalisha hoja kuwajibishwa kwa kufuata kanuni na sheria.

Aidha Kunenge ameagiza Halmashauri hiyo kuongeza wigo waukusanyaji wa mapato. “msiangalie vyanzo vya mapato vilivyopo  tafuteni vyanzo vingine lakini visiwe vikwazo na kuuwa Uwekazaji.

Katika hatua nyingine  kunenge amewataka watendaji  kuwekwa kwa mazingira bora ya kukuza wawekezaji.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 - MKOA WA PWANI December 18, 2020
  • MWALIKO WA KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA MKOA WA PWANI. June 10, 2021
  • ZIARA YA MKUU WA MKOA PWANI MH. MHANDISI EVARIST NDIKILO YA KUSIKILIZA NA KUTATU KERO ZA WANANCHI. August 10, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA - AWAMU YA KWANZA YA VIWANDA VILIVYOWEKEWA MAWE YA MSINGI NA MHESHIMIWA ENG. EVARIST NDIKILO, MKUU WA MKOA WA PWANI August 30, 2019
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC kunenge : Rais kautendea haki MKOA wetu miradi ya Barabara

    June 29, 2022
  • Wakazi wa Mwanalugali wapata Zahanati

    June 28, 2022
  • Maafisa Biashara tumikeni kuvutia wawekezaji

    June 27, 2022
  • Mradi wa Umeme Vijiji REA watakiwa Kubosresha Mazingira ya Uwekezaji Pwani-RC Pwani

    June 21, 2022
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.