• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge aitaka halmashauri ya Rufiji Kusimamia Upangaji wa Wafanyabiashara kwenye Jengo jipya la soko Utete.

Posted on: April 28th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji kusimamia upangaji wa Wafanyabiashara kwenye jengo jipya la soko la Utete ambalo ujenzi wake umegharimu Sh. Milioni 172.

Akizungumza na wananchi wa Utete wakati akizindua soko hilo leo April 27, 2023, Mhe. Kunenge alitoa maelekezo hayo ili wananchi wanaohitaji kuendesha shughuli zao za kujipatia kipato katika soko hilo wasikumbane na adha ya kusumbuliwa na madalali wakati wa kuomba kupangiwa maeneno na vizimba mahala hapo.

Mhe. Kunenge ameeleza kuwa ujenzi wa Soko hilo lenye Vizimba 89 na matundu 7 ya vyoo ni mafanikio makubwa katika kuanzisha, kujenga, kuendeleza na kuboreha miradi ya maendeleo ambayo serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inatekelezo na hivyo ni matarajio yake kuwa litawanufaisha Wananchi wa Utete kwa kuwa hiyo ni sehemu ya huduma.

"Mhe. Rais anafanya kazi kubwa ili kuboresha maisha ya Wananchi wa Tanzania mkiwemo na wana-Rufiji, analeta fedha za ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo ya Masoko, Miundombinu ya Barabara, maji, vituo vya huduma za afya na elimu, itunzeni ili idumu na kutoa huduma endelevu," alisema Kunenge.

Uzinduzi wamradi wa soko hilo umefanyika ikiwa ni muendelezo wa kuzindua miradi ya Maendeleo ikiwa ni mwendelezo wa maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Katika hatua nyingine, Mhe. Kunenge amemtaka Mkurugenzi wa Halmshauri ya wilaya ya Rufiji kuanza kupanga Mji wa Utete kwa kuwa mji huo ni Mji mzuri na unaokuwa kwa kasi. Pia amewaasa wazazi, walezi na jamii kusimamia suala la maadili kwa kutunza na kulea watoto ili wasijiingize katika tabia na tamaduni zisizoakisi maadili ya kitanzania.

Katika ziara hiyo, Mkuu huyo wa Mkoa pia alikagua miradi mbalimbali ya maji, afya na elimu katika halmashauri za Rufiji na Kibiti.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.