• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge Aongoza Jogging Kuhamasissha Uchaguzi Serikali za Mitaa

Posted on: October 12th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ameendelea kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kwa kuendesha mbio za taratibu za kukimbia (Joging) zenye zaidi ya kilomita 5.

Mbio hizo zimefanyika Mjini Kibaha leo Oktoba 12 kuanzia ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani kupitia barabara ya Morogoro na kuelekea Soko la Loliondo na kisha kumalizia katika viwanja vya stendi ya zamani iliyopo Mailimoja Kibaha Mjini zikiwa na lengo kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Mpiga Kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mhe. Kunenge aliwashukuru wananchi wa Kibaha kwa kujitokeza kwa wingi na akawasihi wafanye vivyo hivyo katika zoezi la uandikishaji. Alitoa rai kwa wananchi kujiandikisha mapema na kuepuka kusubiri hadi siku za mwisho ili kuepuka msongamano katika vituo vya kujiandikisha.

“Nawashukuru sana. Kama mlivyojitokeza kwa wingi asubuhi ya leo na kwa hamasa kubwa, kila mwananchi aliyefikisha umri wa miaka 18 ajitokeze kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu. Zoezi la uandikishaji, ambalo Mhe. Rais amelizindua kitaifa jana, tumeanza pia jana tarehe 11. Zoezi hili halichukui muda, ni nusu dakika tu na unakuwa umemaliza,” alisema Mhe. Kunenge.

Mbali na kuhamasisha wananchi kujiandikisha, Mhe. Kunenge pia alisema mbio hizo zina faida ya kujenga afya ya mwili.

Mbio hizo ilihitimishwa katika viwanja vya Maili Moja, Stendi ya zamani ya Mabasi, ambapo wananchi walifanya mazoezi mepesi, huku wasanii mbalimbali kama Barnaba Classic na Joh Makini wakitumbuiza.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200