Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge Aongoza Jogging Kuhamasissha Uchaguzi Serikali za Mitaa

Posted on: October 12th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ameendelea kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kwa kuendesha mbio za taratibu za kukimbia (Joging) zenye zaidi ya kilomita 5.

Mbio hizo zimefanyika Mjini Kibaha leo Oktoba 12 kuanzia ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani kupitia barabara ya Morogoro na kuelekea Soko la Loliondo na kisha kumalizia katika viwanja vya stendi ya zamani iliyopo Mailimoja Kibaha Mjini zikiwa na lengo kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Mpiga Kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mhe. Kunenge aliwashukuru wananchi wa Kibaha kwa kujitokeza kwa wingi na akawasihi wafanye vivyo hivyo katika zoezi la uandikishaji. Alitoa rai kwa wananchi kujiandikisha mapema na kuepuka kusubiri hadi siku za mwisho ili kuepuka msongamano katika vituo vya kujiandikisha.

“Nawashukuru sana. Kama mlivyojitokeza kwa wingi asubuhi ya leo na kwa hamasa kubwa, kila mwananchi aliyefikisha umri wa miaka 18 ajitokeze kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu. Zoezi la uandikishaji, ambalo Mhe. Rais amelizindua kitaifa jana, tumeanza pia jana tarehe 11. Zoezi hili halichukui muda, ni nusu dakika tu na unakuwa umemaliza,” alisema Mhe. Kunenge.

Mbali na kuhamasisha wananchi kujiandikisha, Mhe. Kunenge pia alisema mbio hizo zina faida ya kujenga afya ya mwili.

Mbio hizo ilihitimishwa katika viwanja vya Maili Moja, Stendi ya zamani ya Mabasi, ambapo wananchi walifanya mazoezi mepesi, huku wasanii mbalimbali kama Barnaba Classic na Joh Makini wakitumbuiza.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Waziri Mchengerwa awataka Maafisa Habari wa TAMISEMI Kuongeza Uwajibikaji

    May 23, 2025
  • RC Kunenge aongoza Kikao cha Baraza la Biashara Mkoa na asisitiza kuongeza Uwekezaji na Ukusanyaji wa takwimu sahihi za Mapato

    May 22, 2025
  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.