• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC kunenge apokea (umba) Transformer yenye uwezo wa MV250,asema ujio wa kifaa hicho utajibu changamoto ya Upungufa wa umeme nchini.

Posted on: February 21st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani mhe Abubakari Kunenge, amepokea transforma  katika mradi wa kituo cha kupoza na kupokea umeme cha Chalinze ,yenye uwezo wa megavoti 250 kwa gharama ya Bilioni 7.5.

Kuwasili kwa transforma hiyo ni muendelezo wa Mradi huo ambao kwa Sasa umefikia asilimia 53.13, unatarajiwa kukamilika mwezi Julai mwaka huu ambapo hadi kukamilika mradi mzima utagharimu Bilioni 128 fedha kutoka serikalini.

Akipokea transforma hiyo ,katika kituo hicho huku akiwa ameambatana na ujumbe kutoka Tanesco mkoa , makao makuu na Halmashauri ya Chalinze, Kunenge alisema ,ujio wa kifaa hicho unaandika historia mpya nchini kwani unakwenda kujibu changamoto ya upungufu wa umeme kwenye Maeneo mbalimbali.

Kunenge alieleza, mkoa huo umesheheni kwa viwanda, hivyo hitaji kubwa la wawekezaji ni kupata umeme wa kutosha.

"Tunashukuru Serikali, kwa jitihada za kupunguza tatizo la nishati ya umeme nchini kwa kuendeleza mradi mkubwa wa kimkakati wa bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere (stigo) litakalozalisha megawatt 2115."alieleza Kunenge.

Kwa upande wake meneja miradi Tanesco makao makuu,Didas Lyamuya alifafanua kwamba, shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limeanza kupokea moja ya mashine umba (transforma) sita yenye uwezo wa megavoti 250 katika kituo hicho.

"Kati ya mashine umba hizi sita, mashine umba nne zitakuwa zikipokea umeme mkubwa wa kilovoti 400 utakaosafirishwa kutoka katika mradi wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere (JNHPP) nakuupoza hadi kilovoti 220 na mashine umba mbili ni kwa ajili ya kuupoza umeme mkubwa kutoka kilovoti 220 hadi kilovoti 132. "

"Mashine umba hizi zina uwezo wa kusafirisha hadi megawati 800 zaumeme katika miundombinu ya umeme iliyopo sasa hivi"alieleza Lyamuya.

Hata hivyo Lyamuya alieleza kuwa, kituo hicho kilianza kujengwa mnamo mwaka 2021 na mkandarasi TBEA kutoka China na umefikia asilimia 53.13 na unatarajiwa kukamilika ifikapo tarehe 30 Julai, 2023.

Meneja wa mradi wa kituo Cha kupoza umeme Chalinze, Newton Mwakifwamba alieleza, kukamilika kwa kituo kutasaidia kufupisha njia ya kusafirisha umeme mkubwa kwani sasa

umeme mkubwa utakuwa ukisafirishwa kwenda Zuzu Dodoma ili uingizwe kwenye backbone ya

Taifa.

"Umeme mkubwa mwingine utasafirishwa kwenda Kinyerezi Dar Es Salaam na mwingine

utasafirishwa kwenda Segera Tanga na transforma hii iliyopokelewa moja ni moja ya mashine umba tano na reactors mbili zilizobakia zinatarajiwa kuwasili katika kituo hiki cha kupokea

na kupoza umeme mkubwa cha Chalinze tarehe 3, 7, na 17 ya mwezi Machi 2023."alisema Newton.

Nae Meneja Tanesco mkoa wa Pwani,Mahawa Mkaka kwa upande wake  aliwataka wananchi waendelee kuvumilia tatizo la kukatikakatika kwa umeme kutokana na mabadiliko yanayofanyika kutokana ujenzi wa mradi huo.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.