• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge asisitiza Mkoa wa pwani, TIC Kushirikiana kuendeleza Uwekezaji

Posted on: August 18th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mh. Abubakar Kunenge amesisitiza ushirikiano kati ya ofisi yake na kituo cha uwekezaji Tanzania - TIC ili kufanikisha matokeo ya kukuza uchumi wa wananchi na taifa.

Kunenge ametoa msisitizo huo leo Agosti 17, 2023 alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji Kituo cha uwekezaji Tanzania Gilead Teri kuhusu hali ya uwekezaji katika Mkoa wa Pwani.

Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika kwenye ofisi ya Mkuu huyo wa Mkoa mjini Kibaha, Kunenge ameelezea hali ya upatikanaji wa umeme na gesi, uboreshaji miundombinu ya barabara na mifumo ya maji kama sehemu yakuchochea uwekezaji kutokana na maeneo ya kimkakati katika mkoa huo kufuatiliwa na wawekezaji wengi wanaohitaji kutekeleza shughuli za kilimo, ujenzi wa viwanda na kuendesha biashara kwa kukuza uwekezaji walionao tayari, kuanzisha biashara mpya na kuongeza mitaji yao.

Kutokana na hali hiyo, Kunenge ameeleza kuwa ofisi yake ikifanya kazi kwa pamoja na TIC watakuwa wamefanikisha azma ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan ya kuwapatia wananchi maendeleo.

"Wananchi wanahitaji huduma, wapate maji, huduma za afya, huduma za elimu, umeme na mengineyo ambayo yote ni matumizi ya fedha kutoka serikalini, sasa tunahitaji kuwa na mikakati mizuri na isiyosumbufu kwa wananchi ya kuongeza mapato na uwekezaji ni njia nzuri ya kutupatia mapato hayo ili yatumike kukidhi matarajio ya wananchi," amesema Kunenge.

Amesema kuwa kwa kuongeza uwekezaji, mkoa wake utakuwa umeongeza ajira kwa wananchi, kuongeza mapato ya serikali na kuongeza upatikanaji wa fedha kupitia CSR.

Kunenge pia ameeleza namna mkoa huo unavyotekeleza mkakati wa utatuzi wa migogoro mbali mbali ikiwemo ya ardhi ili kurahisisha uwekezaji kufanyika Kwa uhakika na katika mazingira salama na akasema tayari uandaaji wa ramani maalumu kwa teckonolojia ya kisasa ya maeneo ya uwekezaji wa viwanda utakaosaidia yeyote kupata taarifa kupita simu janja (Smart phone) unakamilika na kuwa kilichobaki ni taratibu za uzinduzi.

Naye Teri amesema kuwa kufuatia jitihada na mafanikio ya mkoa wa Pwani katika uwekezaji, tayari taasisi hiyo imeanzisha ofisi ya Kanda Maalum kushughulikia uwekezaji mkoa huo ili kurahisisha utoaji wa huduma.









Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.