• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge asisitiza Watumishi kufanya kazi kwa Kujituma

Posted on: March 16th, 2025

Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amewaelekeza watumishi wa umma kujituma pasipo kuchoka ili kufanikisha azma ya Serikali kuwaletea wananchi maendeleo.

Kunenge ametoa maelekezo hayo kwa nyakati tofauti katika halmashauri za Kisarawe, Rufiji na Kibiti wakati alipozitembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo hayo ambayo itakaguliwa, kuwekewa jiwe la msingi, kufunguliwa au kuzinduliwa na Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2025.

"Mimi kwenye nafasi yangu na ili tumpe heshima Mhe. Rais aliyeelekeza Mwenge wa Uhuru uzinduliwe Mkoani kwetu (Pwani), kama kuna jambo litahitaji uwepo wangu nisilale, sintalala ili kuhakikisha kuwa mambo ya uzinduzi yanaenda sawa sawa," alisema.

Akiwa Kisarawe, Kunenge aliwasisitiza watumishi kujituma zaidi akiwahimiza kuwa ili wafanye vizuri katika utendaji wao ni lazima wawe na moyo wa kutaka kufanya hivyo.

"Mwenyezi Mungu amekupa uwezo na akili, kwanini ushindwe, tatizo ninaloliona ni kuwa watu wanataka kufanyiwa kazi zao," alibainisha.

Akitahadharisha juu ya utendaji usioridhisha kwa baadhi ya watumishi, Mkuu huyo wa mkoa alieleza kuwa kuna mambo ya kubembelezana lakini kuna mambo mengine sio ya kubembelezana na akatoa mfano wa usimamizi hafifu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo akihoji kwa kutoa mfano kuwa inawezaje kutokea mlango usifunge wakati wataalam wenye ujuzi wapo na mifumo ya ufuatiliaji nayo ikiwepo.

Hata hivyo Kunenge ambaye anaendelea na ziara yake hiyo inayolenga kuzifikia Halmashauri zote za Mkoa huo aliwapongeza watalamu kwenye maeneo yao kwa kujituma akisema "ninaamini tunayo timu nzuri, tukijipanga tunaweza kufanya vizuri

Kila mmoja afanye kazi na ajitume."

Mbio za Mwenge wa Uhuru zinatarajiwa kuzinduliwa Mkoani Pwani April 2, 2025 kwenye viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali na wananchi kwa makundi tofauti.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88