• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge awahimiza wananchi kujitokeza katika Maonesho

Posted on: December 16th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge , amewakaribisha wananchi pamoja na wafanyabiashara wakubwa na wa kati kushiriki kwa wingi katika Maonesho ya Nne ya Biashara na Uwekezaji yanayofanyika katika viwanja vya Mailimoja, Kibaha Mjini. Maonesho hayo yaliyanza Disemba 16 na yanatarajiwa kufikia kilele chake Desemba 20, 2024. Ufunguzi rasmi wa maonesho hayo utafanyika Desemba 17, ambapo mgeni rasmi atakuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Suleiman Jafo (Mb).

Akizungumza na waandishi wa habari disemba 16,2024, Kunenge alisisitiza umuhimu wa maonesho hayo katika kukuza uchumi wa Mkoa wa Pwani na kufungua fursa mbalimbali kwa wafanyabiashara, wawekezaji, na wajasiriamali. Alieleza kuwa maonesho hayo ni sehemu ya jitihada za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, za kukuza sekta ya biashara na uwekezaji nchini. Mkoa wa Pwani, kwa kushirikiana na serikali kuu, umeamua kutekeleza juhudi hizo kwa vitendo kupitia maonesho haya.

 Alibainisha kuwa lengo kuu la maonesho hayo ni kutangaza fursa za uwekezaji, kufungua masoko mapya, na kutoa jukwaa la kuonyesha bidhaa zinazozalishwa mkoani Pwani. Aidha, alieleza kuwa maonesho hayo yanatarajiwa kushirikisha washiriki 550, wakiwemo wafanyabiashara wakubwa, wa kati, taasisi za umma, na sekta binafsi.

Katika hatua nyingine  alielezea mafanikio makubwa yaliyofikiwa na Mkoa wa Pwani chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisema kuwa tangu mwaka 2021, mkoa huo umefanikiwa kuongeza viwanda vikubwa 78 na kufikia jumla ya viwanda 1,553. “Tunaendelea kunufaika na mazingira bora ya uwekezaji yaliyoimarishwa na serikali inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Maonesho haya ni sehemu ya juhudi zetu za kutekeleza dira ya maendeleo ya viwanda nchini,” alisisitiza Kunenge.

Aidha, Mhe. Kunenge alifafanua kuwa maonesho hayo yataambatana na Kongamano la Uwekezaji litakalofanyika Desemba 18, 2024, katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Nyerere, Kibaha kwa Mfipa. Kongamano hilo litatumika kama jukwaa muhimu la mijadala juu ya maendeleo ya biashara na uwekezaji mkoani Pwani na nchini kwa ujumla.



Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.