• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge azitaka Halmashauri kuhakikisha mpaka ifikapo Septemba 30 zoja zote ambazo hazijafungwa ziwe zimefungwa

Posted on: June 17th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge, ameagiza kuchukuliwa hatua wale wote wanaobainika kusababisha hasara kwenye hoja za ukaguzi wa mahesabu na kuhakikisha hoja zote ambazo hazijafungwa zifungwe ifikapo Septemba 30 mwaka huu.

Vilevile ameagiza Halmashauri Mkoani hapo ,kuweka vipaombele ,kufungua wigo wa vyanzo vipya vya mapato na Kuwa wabunifu ili kukuza uchumi na kuongeza uwezo wa Halmashauri .

Akizungumza na madiwani na watendaji wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha pamoja na Halmashauri ya wilaya ya Kibaha , wakati wa Kikao Maalumu cha Kujadili Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ,Kunenge aliwaasa watendaji kujenga tabia ya kuhifadhi na kutunza nyaraka ili kuepusha hoja ambazo zipo ndani ya uwezo wa kuzifunga.

Alionya kuacha kufanya kazi kwa mazoea na kupuuzia mambo kwani kwa kufanya hivyo kunasababisha hatua za ukaguzi kukwama.

Kuhusu mabadiliko ya kiuchumi mkoa , Mkuu huyo wa mkoa alisema ni wakati wa kufanya mabadiliko ya kasi za ufanyaji kazi ili kupiga hatua zaidi ya kimaendeleo na kiuchumi.

"Watendaji na wataalamu muwe wabunifu unaoendana na spidi ya Serikali na Rais Samia Suluhu kuleta matokeo chanya kwa wananchi," mkoa bado unahitaji nguvu ya pamoja kuinua uchumi,'"! ambao bado kimkoa haupo vizuri kwani Hadi Sasa mkoa upo mkoa wa tatu kutoka mwisho"alifafanua Kunenge.

Kunenge aliziasa, Halmashauri hizo, kumaliza miradi yote viporo ,kuweka Mazingira Bora ya kuvutia wawekezaji pamoja na kutangaza fursa mkoa.

Mkaguzi Mkuu wa nje Mkoani Pwani ,Mary Dibogo alibainisha , wanaendelea na hoja nyingine za nyuma , wanashindwa kufunga baadhi ya hoja kutokana na Kuwa hawaoni namna ya kuzifunga .

Alitoa Rai Halmashauri zote ambazo bado Kuna hoja hazijafungwa ,wafunge hoja zilizobaki kwa muda waliopewa .

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mshamu Munde alieleza , Halmashauri hiyo imepata hati safi mwaka wa tatu mfululizo na kueleza hoja zilikuwa 50 ,zilizofungwa 31 ,bado 19 hazijafungwa .

Awali Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha,Butamo Ndalahwa alielezea wamepata hati safi ,hoja 37 zimefungwa ," 26 hazijafungwa kati ya hizo 18 zipo nje ya uwezo wao kuzifunga.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.