• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC kunenge azitaka Halmashauri kuibua vyanzo vipya vya Mapato

Posted on: June 25th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ametoa maelekezo kwa Halmashauri za Mkoa huo kuibua vyanzo vipya vya mapato ambavyo vitasaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo

Pia Kunenge ameziagiza kuongeza umahiri wa kukusanya mapato sambamba na kuwa makini kwenye matumizi kwa kutumia maeneo yenye tija.

Kunenge ameyasema hayo kwa nyakati tofauti leo Juni 25, 2024 alipohudhuria vikao vya mabaraza maalumu ya Halmashauri za Waya ya Kibaha na Chalinze kwa ajili ya kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)

Akizungumza katika vikao hivyo Kunenge alisema kwasasa Halmashauri hizo zinatakiwakujikita kutengeneza mapato kwa kuzingatia kuweka miikakati ya kuibua vyanzo vipya na kuvifanya vikue na kuwa endelevu.

"Fursa mnazo na mnafanya vizuri lakini mnaweza kufanya vizuri zaidi ya hapo, kinachotakiwa sio tu asilimia ya makusanyo ya lengo (bajeti), bali ni kiasi gani unapata ili kuwaletea wananchi maendeleo," amesema

Amewasisitiza madiwani na watendaji katika Halmashauri hizo kufikiria wanaweza kufanya ili kuzisaidia kutoa huduma kwa wananchi.

"Changamoto na mahitaji ya wananchi yanakuwa yakiongezeka kila siku hivyo mnatakiwa kuongeza uwigo makusanyo ya mapato" amesema kunenge.

Kadhalika Kunenge amewaasa kutoridhika na hali hiyo kwa kuwa bado kuna mahitaji makubwa ya huduma kwa wananchi kwani kila mwaka malengo yanaongezeka kutokana na idadi ya watu kuongezeka.

"Watoto wanazidi kuzaliwa, kuna mahitaji kama madarasa, vituo vya kutolea huduma za afya, mahitaji ya maji, miundombinu, haya yote yanahitaji mapato hivyo wekeni jitihada na mikakati ya kuongeza ukusanyaji," amesema.

Katika mikutano hiyo, Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Rashid Mchatta mbali na kuzipongeza Halmshauri hizo kwa kupata hati safi na kwa kuvuka lengo la makusanyo, amezielekeza kumaliza hoja zilizobaki.

Mchatta pia amezelekeza Halmashauri hizo kutekeleza maagizo ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ya kutumia vitendea kazi kama vile vishikwambi na matumizi ya mifumo kama ule wa e-office na mingine ili kuondokana na matumizi ya karatasi.

Naye Mkaguzi wa nje Mkoa wa Pwani toka Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi CPA Pastory Masawe amezipongeza Halmashauri hizo kwa kupata hati safi na akatahadharisha kutobweteka na kuharibu hiyo sifa walizonazo.


Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777