• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC kunenge azitaka Halmashauri kuibua vyanzo vipya vya Mapato

Posted on: June 25th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ametoa maelekezo kwa Halmashauri za Mkoa huo kuibua vyanzo vipya vya mapato ambavyo vitasaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo

Pia Kunenge ameziagiza kuongeza umahiri wa kukusanya mapato sambamba na kuwa makini kwenye matumizi kwa kutumia maeneo yenye tija.

Kunenge ameyasema hayo kwa nyakati tofauti leo Juni 25, 2024 alipohudhuria vikao vya mabaraza maalumu ya Halmashauri za Waya ya Kibaha na Chalinze kwa ajili ya kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)

Akizungumza katika vikao hivyo Kunenge alisema kwasasa Halmashauri hizo zinatakiwakujikita kutengeneza mapato kwa kuzingatia kuweka miikakati ya kuibua vyanzo vipya na kuvifanya vikue na kuwa endelevu.

"Fursa mnazo na mnafanya vizuri lakini mnaweza kufanya vizuri zaidi ya hapo, kinachotakiwa sio tu asilimia ya makusanyo ya lengo (bajeti), bali ni kiasi gani unapata ili kuwaletea wananchi maendeleo," amesema

Amewasisitiza madiwani na watendaji katika Halmashauri hizo kufikiria wanaweza kufanya ili kuzisaidia kutoa huduma kwa wananchi.

"Changamoto na mahitaji ya wananchi yanakuwa yakiongezeka kila siku hivyo mnatakiwa kuongeza uwigo makusanyo ya mapato" amesema kunenge.

Kadhalika Kunenge amewaasa kutoridhika na hali hiyo kwa kuwa bado kuna mahitaji makubwa ya huduma kwa wananchi kwani kila mwaka malengo yanaongezeka kutokana na idadi ya watu kuongezeka.

"Watoto wanazidi kuzaliwa, kuna mahitaji kama madarasa, vituo vya kutolea huduma za afya, mahitaji ya maji, miundombinu, haya yote yanahitaji mapato hivyo wekeni jitihada na mikakati ya kuongeza ukusanyaji," amesema.

Katika mikutano hiyo, Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Rashid Mchatta mbali na kuzipongeza Halmshauri hizo kwa kupata hati safi na kwa kuvuka lengo la makusanyo, amezielekeza kumaliza hoja zilizobaki.

Mchatta pia amezelekeza Halmashauri hizo kutekeleza maagizo ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ya kutumia vitendea kazi kama vile vishikwambi na matumizi ya mifumo kama ule wa e-office na mingine ili kuondokana na matumizi ya karatasi.

Naye Mkaguzi wa nje Mkoa wa Pwani toka Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi CPA Pastory Masawe amezipongeza Halmashauri hizo kwa kupata hati safi na akatahadharisha kutobweteka na kuharibu hiyo sifa walizonazo.


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.