• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge azitaka halmashauri za Chalinze na Bagamoyo kutumia rasilimali zilizopo kukuza uchumi

Posted on: June 22nd, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge, amesema yeye kwa kushirikiana na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, watafanya kazi maalum kuhakikisha wanatumia historia ya Mji wa Bagamoyo na bahari ya Hindi kuongeza mapato.

Kunenge ameyasema hayo leo Juni 21, 2023 katika kikao cha Baraza la halmashauri maalum la kupitia hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Amesema fursa zilizopo wilayani Bagamoyo hazitangazwi ipasavyo hivyo wanapaswa kufanya kazi maalum kuhakikisha wanaongeza mapato kupitia historia na ukongwe wa mji huo pamoja na uwepo wa bahari ya Hindi.

“Tunapaswa kufanya kazi maalum hapa kuongeza mapato, haiwezekani tuna mji mkongwe na wa kihistoria lakini kasi ya ukusanyaji mapato ni ndogo vile vile bahari yetu ambayo kwa sehemu kubwa ipo hapa Bagamoyo tuumize vichwa vyetu kuhakikisha tunabuni fursa zinazopatikana mule majini,” amesema Kunenge.

Kunenge pia amewataka viongozi wa Wilaya hiyo kuainisha maeneo yote yasiyokuwa na migogoro ya ardhi kwa ajili ya shughuli za Utalii na Uwekezaji kama sehemu ya kukuza uchumi wa eneo hilo.

Akiwa katika halmashauri ya Wilaya ya Chalinze Kunenge, amesema licha ya Halmashuari hiyo iliyopo Wilaya ya Bagamoyo kupata hati safi baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali - CAG kufunga hoja 19 kati ya 32 kwa mwaka 2022/2023, viongozi wanapaswa kubuni vyanzo vingine ili kuongeza mapato.

Amesema ni muhimu kwa viongozi wa Halmashauri hiyo kuumiza vichwa kubuni zaidi vyanzo vya mapato ambavyo vitasaidia kuipaisha kimapato na kuisaidia serikali kutimiza majukumu yake yanayoondoa kero kwa wananchi.

“Halmashauri ya Chalinze kupata hati safi sio jambo la kushangaza sana, sasa tujikite pia kwenye kubuni na kutafuta vyanzo vingine vya mapato ili uchumi wetu upae na tuweze kutekeleza majukumu yetu ipasavyo kwani tuna eneo kubwa la ardhi, tulitumie vizuri na tuandae mazingira mazuri ya kuwavutia wawekezaji,” amesema Kunenge.

Hata hivyo, Mkuu huyo wa Mkoa amezipongeza halmashauri hizo kwa kupata hati safi na akawahimiza kuendelea kupata majibu ya zile zilizobakia ili nazo zifutwe.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Pwani yaenedelea Kuzalisha Ajira Kuumuunga Mkono Mhe Rais Kupitia Uwekezaji wa Viwanda

    January 05, 2026
  • Hakikisheni Mradi wa bwawa la maji Kidunda Hausimami _ Dkt Mwigulu

    January 02, 2026
  • Zaid ya Ajira 4,000 Kuzalishwa Bagamoyo kufuatia Makampuni Sita Kusini Mikataba Bemc Sez.

    December 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98