• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge Kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa Viongozi wanaosababisha Migogoro ya Ardhi Kibahai

Posted on: December 17th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Pili Mnyema, kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Nickson Simon, kuhakikisha hatua za kisheria zinachukuliwa dhidi ya viongozi wote waliobainika kuhusika na kusababisha migogoro ya ardhi wilayani Kibaha.

Migogoro hiyo inahusisha mmiliki binafsi, Tariq Saleh Ahmed, Kampuni ya Bathawab Investment Ltd, Kampuni ya Transcontinental Forwarders Limited pamoja na baadhi ya wananchi wa maeneo ya Lupunga na Chekeleni.

Aidha, Kunenge ametoa onyo kali kwa viongozi wa Serikali za Mitaa dhidi ya kujihusisha na uuzaji wa ardhi, huku akizielekeza halmashauri zote za Mkoa wa Pwani kusimamia kikamilifu masuala ya ujenzi kwa kuhakikisha vibali vinapatikana kabla ya kuanza ujenzi, ili kuepusha migogoro isiyo ya lazima.

Vilevile, amewaelekeza wawekezaji kuendelea na shughuli zao za uwekezaji baada ya kuthibitishwa rasmi kuwa wao ni wamiliki halali wa maeneo hayo.

Maelekezo hayo yalitolewa Desemba 17, 2025, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika eneo la Kikongo, Wilaya ya Kibaha, ambapo Mhe. Kunenge alikuwa akiwasilisha taarifa ya migogoro ya ardhi iliyoshughulikiwa na timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Timu hiyo iliundwa kufuatia Ziara ya Kliniki ya Ardhi iliyofanywa na aliyekuwa Waziri wa wizara hiyo, Mhe. Jerry Silaa, mkoani Pwani Julai 2–3, 2024.

Akizungumza katika mkutano huo, Mhe. Kunenge alisema

“Kwa kuzingatia maelekezo ya Mhe. Waziri, nimemuelekeza Katibu Tawala wa Mkoa pamoja na Mkuu wa Wilaya kuhakikisha viongozi wote waliosababisha mgogoro huu wanafuatiliwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.”

Aliongeza kuwa viongozi wa Serikali za Mitaa hawapaswi kuhusika katika uuzaji wa ardhi, na halmashauri zote zihakikishe zinasimamia ipasavyo utoaji wa vibali vya ujenzi ili kuzuia migogoro kama hiyo kujirudia.

Akisoma taarifa ya migogoro hiyo, Katibu Tawala Msaidizi Miundombinu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Felix Nlalio alisema mgogoro mmoja unahusu Shamba Na. 9 (Lupunga Farm Ltd) kati ya Bw. Tariq Saleh Ahmed na baadhi ya wananchi wa Kitongoji cha Lupunga.

Alisema shamba hilo lenye ukubwa wa ekari 850, lililopo Kata ya Kikongo, Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha, liligawanywa kuwa Shamba Na. 9/1 na 9/2.

Mhandisi Felix aliongeza kuwa mgogoro mwingine unahusu Shamba Na. 30/1 Chekeleni/Lupunga lenye ukubwa wa hekta 1,082.4 na Shamba Na. 30/2 lenye ukubwa wa hekta 737.6, kati ya Kampuni ya Transcontinental Forwarders Limited na baadhi ya wananchi wa Chekeleni na Lupunga.

Alifafanua kuwa kulikuwepo na malalamiko ya mara kwa mara kuhusu madai ya fidia, lakini baada ya uchunguzi wa kina uliohusisha mapitio ya nyaraka na mahojiano na pande zote husika, timu ya Wizara imethibitisha kuwa Kampuni ya Transcontinental Forwarders Limited pamoja na Bw. Tariq Saleh Ahmed ndio wamiliki halali wa mashamba hayo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88