• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC kunenge : Rais kautendea haki MKOA wetu miradi ya Barabara

Posted on: June 29th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge, amesema Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan,imeitendea haki Wakala wa barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kutenga kiasi cha sh. Bilioni 44.65 kwa mwaka wa fedha 2021/2022 za utekelezaji wa miradi.


Kunenge aliyasema hayo wakati alipokagua miradi ya barabara mbali mbali za Viuatilifu - TAMCO - Mapinga iliyo chini ya TANROADS, barabara ya kuelekea hospitali ya Wilaya ya Lulanzi, ya TANITA kuelekea chuo cha uongozi cha Mwl. Nyerere na Visiga -Zegereni na akawataka wakandarasi wanaotekeleza miradi hiyo kuzitendea haki fedha hizo nyingi zinazotolewa na Serikali kwa kutekeleza miradi kwa wakati bila ubabaishaji.


Kati ya fedha hizo, sh. Bilioni 21.111 ni kwa ajili ya mradi wa barabara inayojengwa kwa kiwango cha lami ya Visiga -Zegereni na Bilioni 1.367 kwa Ajili ya miradi ya dharura Kibiti, Mkuranga, Kibaha na Bagamoyo.


Mkuu huyo wa Mkoa alieleza kuwa TARURA na TANROADS Wana mahusiano mazuri ya kiutendaji wa kazi na kuwa wanafanya kazi kubwa.


Kunenge alifafanua kuwa TANROADS ilitengewa zaidi ya sh.bilioni 42 na Hadi Sasa wameshapelekewa asilimia 75 ya fedha hizo na TARURA imeshapelekewa asilimia 95 ya fedha zotewalizotengewa.


"Tunamshukuru Rais wetu, mkoa kautendea haki, kwa upande wa barabara hii ya Visiga -Zegereni Ni mradi unaokwenda Viwandani km 12.5 unatekelezwa na TARURA, Sasa utaona mradi huu unagharimu Bilioni 21 Hadi kukamilika Ni Jambo la faraja kwakuwa utasaidia wawekezaji kusafirisha malighafi na bidhaa zao kwa urahisi," alifafanua Kunenge.


Awali Meneja wa TARURA mkoa, Leopold Runji alisema wametengewa Bilioni 44.6 na kuwa tayari wameshapokea Bilioni 25.074 na kuwa mradi wa Visiga- Zegereni umefikia asilimia 10 ya utekelezaji hadi Sasa.


Runji alitaja mafungu ya fedha walizopokea kimkoa akisema “tumeshapokea kiasi cha sh. Bilioni 8.2 za mfuko wa barabara kwa ajili ya matengenezo ya barabara ya kawaida kilometa 873.98, za Mfuko wa Jimbo sh. Bilioni 4.8 na fedha za tozo sh. Bilioni 28.236.”


Naye Dereva bodaboda aliyejitambulisha kwa jina la Majid Muhammad alisema kwa sasa wanapata changamoto kipindi cha mvua hivyo wanaishukuru Serikali kwa mipango ya kuboresha barabara Hali itakayowawezesha kupita kwa urahisi.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.