• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge: Wakuu wa Wilaya Msikwamishe jitihada za Rais Samia

Posted on: January 30th, 2023

MKuu wa mkoa wa Pwani, alhaj Abubakari Kunenge amewaasa wakuu wa wilaya mkoani humo kutokuwa chanzo cha kukwamisha jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan bali wakawatumikie na kuwahudumia wananchi.

Kunenge ameyasema hayo leo Januari 30, 2023 Mara baada ya kuwaapisha wakuu wa Wilaya za Rufiji na Mafia walioteuliwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Januari 25 Mwaka huu.

Walioapishwa leo na wilaya zao kwenye mabano ni Col. Samwel Kolombo (Kibiti) na Zephania Stephen Sumaye (Mafia).

Kunenge amewaasa wakuu hao wa wilaya kwenda kufanya kazi kwa karibu pamoja na kamati za amani ili kushughulikia na kusimamia kwa pamoja kupunguza masuala ya uhalifu akizitaja baadhi kuwa ni za mmomonyoko wa maadili kama vile ubakaji, na ulawiti na ambayo yanaonekana kushamiri.

Vilevile alieleza kuwa Mkoa wa Pwani ni wa biashara na uwekezaji hivyo wakuu hao wa wilaya wakaweke Mazingira bora ya uwekezaji kuvutia wawekezaji ili pia kuongeza vyanzo vya mapato.

"Twendeni tukawatumikie na kutatua kero zao wananchi, sisi ni watumishi wao, kwasababu CCM iliahidi kuwatumikia na wananchi wakaridhia, kuna mkataba wa wananchi na CCM kutekeleza ilani hivyo wajibu wetu ni kutekeleza ilani," alisema Kunenge.

Mkuu huyo wa MKOA pia alitoa msisitizo wa viongozi hao kushirikiana katika kuongeza mapato na kudhibiti upotevu wowote unaoweza kutokea akisema “Pamoja na hayo, mkafanye kazi na Halmashauri na Taasisi zote za Serikali kusimamia mapato ya halmashauri na kudhibiti utoroshaji wa fedha za mapato ambao wakati mwingine unafanywa na baadhi ya watumishi.”

Aisha, Kunenge aliwaasa wakuu wilaya kuhakikisha kuwa wanazijua wilaya zao kama viganja vyao vya mkono na kuzijua kero za wananchi wao na kuwatumikia na kuwa wawe wanatoka maofisini na kwenda kuzijua na kuzitatua kero za wananchi kwenye maeneo yao.

Awali, Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Zuwena Omari aliwasihi wakuu wa wilaya kijumla kwenda kusimamia mapato na mianya ya utoroshaji wa fedha za mapato ambao wakati mwingine unafanywa na baadhi ya watumishi.

Zuwena pia alizitaka Halmashauri kutumia mashine za kukusanyia mapato kwa njia ya kielektroniki ili kupunguza “upigaji” wa mapato.

Vilevile Katibu Tawala huyo alitoa rai kwa viongozi hao kusimamia asilimia 10 za mapato ya Halmashauri ambazo zinatengwa kwa ajili ya vikundi vya vijana, wanawake na makundi maalum.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.