• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo alitaka Jeshi la Polisi Mkoa Pwani Kutoa ulinzi Kwa wananchi wote w bila kujali uwezo wa Mtu.

Posted on: February 1st, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo  amelitaka Jeshi la Polisi kuendelea kusimamia majukumu yao ya kikatiba ya Kulinda Raia na Mali Zao Mkoani hapo.

" Ulinzi wenu unatakiwa uwe kwa Raia wote wanyonge, wenye Uchumi wa Kati na matajiri'.

Ndikilo amesema hayo katika hafla ya Jeshi la Polisi Mkoani hapo ya kuaga na kukaribisha Mwaka mpya 2021 iliyofanyika katika Ukumbi wa Polisi Mkoa.

Ndikilo amepongeza jeshi hilo kwa kutekeleza majukumu yake vizuri kwa mwaka 2020, ikiwemo kusimamia ulinzi na usalama wakati uchaguzi, kupambana na madawa ya kulevya, kupambana na uingizwaji wa bidhaa za magendo, kudhibiti ajali barabarani katika barabara ya morogoro(Morogoro Road)

Ndikilo amesema Mkakati wa Mkoa katika kuendele kudhibiti ajali kwenye Barabara ya Morogoro na kuondoa msongamano ni pamoja na Maelekezo aliyoyatoa katika kikao cha Bodi ya Barabara Desemba 2020 ya kukarabati barabara ya zamani ya Morogoro ili itumike pale panapotokea ajali kwenye Barabara ya sasa.

Katika Hotuba yake kwa Hadhara hiyo Ndikilo ameliekekeza Jeshi Jeshi kufanyia kazi mambo Tisa yafuatayo kwa mwaka 2021,

Mosi kulinda Wawekezaji kwa kuwa Mkoa huo ni Mkoa wa Viwanda,

Pili amewataka Jeshi hilo Mkoani hapo kuboresha ushirikiano na kufanya kazi kwa kuelewana na Serikali "Jeshi la Polisi ni Mkono wa kusaidia Serikali kufanya kazi zake" tuongeze kasi ya kushirikiana"

Tatu amelitaka Jeshi hilo kukamilisha Upelelezi kwa Wakati, "Raia wanataka kuona Upelelezi unakamilika na kupeleka mahakamani, "Mahakama haiwezi kuendelea kusikikiza kesi bila Upelelezi kukamilika tunategemeana"

Nne amewataka Jeshi hilo kufanyia kazi migogoro ya ardhi, kwa kufanyia kazi nyaraka ambazo zimeghushiwa."tusiachia baraza la Ardhi pekee" na kukimbia kesi hizi"

Tano amewataka kupambana na kudhibiti Migogoro ya Wakulima na Wafugaji"hatutaki kumwaga damu kwa sababu ya Migogoro hii"

Sita amewataka kuendelea kupambana na Wahamiaji haramu, amewataka kuwashughulikia wale wanaohusika na biashara ya uhamiaji haramu, "shirikianeni na Kamanda wa uhamiaji na wakuu wa Wilaya kulimaliza hili".

Saba amewataka kupambana na Wafugaji wababe, kuna baadhi ya wafugaji ni wababe wanatumia mali zao kunyanyasa wengine.

Nane ametaka Jeshi hilo kufuatilia tuhuma kwenye kata ya Mkange kitongoji cha Java na Matipwili, kwa kuwa kuna biashara za Gongo pombe haramu, ulimaji wa bangi na madawa ya kulevya, ukataji wa Misitu hovyo katika kitongoji cha Java "Mwaka 2021 elekezeni nguvu huko kwani mambo haya yakiendelea yanatupaka matope"

Tisa amewataka Wadau mbalimbali Mkoani hapo kulisaidia Jeshi Polisi kwa hali na mali ili liweze kutekeleze majukumu yake ipasavyo.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.