• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo aomba Huduma ya Dharura kwa Hospitali Teule ya Mkoa- Tumbi

Posted on: March 13th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Pwani  Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo amewasilisha maombi ya uwepo wa huduma za dharura katika Hospitali ya Rufaa ya Tumbi kwa Kamati ya kudumu ya Bunge ya  Utawala na Serikali za Mitaa.

Ndikilo aliwasilisha maombi hayo  Mjini Kibaha wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara ya kukagua mradi wa ukarabati wa Sekondari kongwe ya Kibaha na kutembelea Hospitali ya Tumbi kujionea namna shughuli zinazofanywa.

Alisema endapo zitakuwepo huduma za dharura katika Hospitali hiyo itasaidia kupunguza msongamano katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na tawi la Mloganzila.

“Hi Hospitali yetu ipo katika barabara kuu ya Chalinze Morogoro ni lango la kuingia na kutokana nchi jirani huduma za kiafya zinatakiwa ziboreshwe sio kukimbiza katika Hospitali ya Muhimbili lakini pia utaratibu wa huduma za dharura ulianza itasaidia wagonjwa wanaotakiwa kwenda Hospitali ya Taifa kuishia hapa hapa" alisema.

Aidha alisema mfumo wa ukusanyaji fedha unaofanywa kwasasa umeongeza mapato kutokana 300,000 kwa siku hadi. Milion 3.

Mbunge wa jimbo la Kibaha Vijijini Michael Mwakamo aliomba kuapitiwa upya gharama wanazotozwa wagonjwa ambao hawakufika hapo kwa kupewa Rufaa.

Kwa mujibu wa moja wa wataalamu wa Hospitali hiyo Radigunda Chuwa alisema kuwa mgonjwa anayefika hapo kwa kupewa rufani kadi yake ni Shilingi 2500 huku aliyefika bila kupata rufani Kati yake akikatiwa kwa Shilingi 5000 ambayo imelalamikiwa na Mbunge huyo kuwa inamuumiza mwananhi.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Humphrey Polepole alisema viongozi na watoa huduma wa afya wanatakiwa kutoa Elimu kwa wananchi kuanza kupata huduma za afya kwenye ngazi ya zahanati na vituo vya afya badala ya kukimbilia hospitali za Rufaa.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Serikali za Mitaa David Silinde alisema mpango wa Serikali ni kuhakikisha kila .wananchi anatumia bima ya afya.

Silinde alisema mapendekezo yote yaliyotolewa na kamati hiyo yamepokelewa na yatafanyiwa kazi .


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.