• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo asema hatowamfumbia macho Viongozi waVyama vya ushirika atakaejihusisha ubadhilifu kwenye zao la Korosho

Posted on: November 11th, 2020

MKUU wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo ametoa rai kwa viongozi wa vyama vya ushirika kuwa makini kwenye ubadhilifu wa Korosho za wakulima.

Ndikilo amesema asingependa kusikia suala la upotevu wa Korosho kwa kisingizio cha unyaufu na ikibainika hivyo atawashughulikia kukomesha hali hiyo.

Akiongea wakati wa mnada wa kwanza wa Korosho aliouzindua mwanoni mwa wiki hii  Wilayani  Kibiti Ndikilo alisema kuwa hatafumbia macho kiongozi atakayetajwa kuhusika na wizi huo.

Aidha Ndikilo aliwataka wakulima kuhakikisha wanaanika Korosho zao ikiwa ni pamoja na kuzichambua kuzipanga kulingana na ubora .

Alisema Korosho zisipokuwa katika ubora unaotakiwa wakulima wataendelea kulalamikia soko huku maeneo mengine wakiendelea kuuza Korosho zao katika masoko mbalimbali.

Katika mnada huo wakulima walikubaliana kuuza Korosho daraja la kwanza kwa Shilingi 2153 huku na korosho daraja la pili kuuzwa katika mnada wa pili kutokana na kutoridhika na bei ya mnunuzi ailiyoiweka ya Shilingi 1400.

Said Seif mmoja wa wakulima alisema wakulima hawawezi kukubali kuuza Korosho zao za daraja la pili kwa bei ya Shilingi 1400 ambayo walidai ni ya chini hailingani na gharama wanazotumia wakima hadi Korosho kufika kwenye maghala.

Baada ya makubaliano hayo mkuu wa Mkoa alitoa agizo kwa maofisa ushirika kukaa na viongozi wa vyama vya ushirika kupanga kwa pamoja bei a usafiri hadi kufika kwenye maghala ili zisiwe kubwa zakumuumiza mkulima.

Awali Katibu Tawala msaidizi Uchumi na Uzalishaji Shangwe Twamala alisema mnada huo ulilenga uuzaji wa kilo 2,073,293 sawa na asilimia 55.9 ya Korosho zote zilizokusanywa na vyama vya ushirika ( AMCOS)

Twamala alisema katika Korosho hizo kilo 512,786 ni daraja la kwanza na kilo 1,560,507.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.