• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo ataka Vikundi vinavyokopeshwa fedha za Asilimia 10 kurejesha fedha hizo kwa wakati.

Posted on: April 1st, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo, amekabidhi Vifaa na Fedha Taslimu vyenye thamani ya Shilingi 245,867,100 kama Mikopo ya Asilimia10 ya Mapato ya Halmashauri ya Mji Kibaha kwa makundi ya Vijana, Wanawake na Watu wenye Walemavu.

Akikabidhi vitu hivyo ambavyo ni  Pikipiki 12, Bajaji 1, Toyo 1 Mashine 1 ya kutengeneza sabuni na Fedha taslimu shilingi 177,746,400 kwa vikundi 68.

Akizungumza kwenye Hafla hiyo Ndikilo amesema utoaji wa Mikopo hiyo ni Takwa kisheria (Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka 2019). Aidha ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi 2020-2025.

 Aidha alieleza  hali ya utoaji Mikopo hiyo na Marejesho Mkoani hapo amesema mwaka 2019/20 Jumla ya Shilingi Bilioni 2.666 zilitolewa kwa vikundi 672 sawa na Asilimia 108 ya fedha zilizopangwa kutolewa na marejesho yalikuwa Sh. 645,770,927 sawa na asilimia 54 ya fedha zilizokopeshwa. "Marejesho haya ni Duni" fedha hizi ni za Serikali lazima mrejeshe ili watanzania wengine wanufaike na matunda ya Serikali yao"

Amesema Kuwa  kwa mwaka 2020/21 fedha za asilimia 10 zitakazotengwa na Halmshauri zote 9 ni Bn 2,124,500,000 Hadi Februari 2021 fedha zilizokusanywa  ni Bilioni 1,713,172,068 sawa na asilimia 78.54 ya fedha zilizopangwa, fedha ambazo zimefikishwa kwenye vikundi hadi Februari 2021 ni Sh. Bn 1,149,459,447 sawa na asilimia 66.92

Ndikilo Amezitaka Halmashauri zote za Mkoa huo kutenga Asilimia 10 ya mapato ya ndani na kutoa mikopo amewataka kuacha kutumia fedha hizo kwa matumizi mengine.

Pia ameziagiza Halmashauri zote Mkoani hapo kutoa Mkopo hiyo kwa vikundi kwa kuzingatia kanuni, taratibu na sheria zilizopo. "Tukague vikundi vizuri masharti na katiba zao kabla ya kutoa mikopo"

Amewaasa wananchi na Vikundi wanaopokea Mikopo hiyo kubadilisha maisha yao kiuchumi, ''Ninataka kuona Mikopo hii isaidie kubadilisha maisha yenu kina mama Vijana na watu wenye ulemavu" alisema Ndikilo.

Amewataka kuwa na nidhamu ya Matumizi ya fedha na vifaa wanavyokabidhiwa, "Hakuna fedha ndogo lazima muwe na mipango thabiti ili fedha ziongezeke" alisema Ndikilo.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.