• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Ndikilo awaagiza Wakuu wa Wilaya kusimamia ukamilishaji wa ujenzi wa madarasa

Posted on: December 18th, 2018


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo, amewaagiza wakuu wa Wilaya Mkoani humo kuhakikisha kuwa ujenzi wa vyumba vya madarasa ya Sekondari unakamilika kabla ya Januari 31, 2018ili  kuwezesha wanafunzi waliofaulu mtihani wa darasa la saba kujiunga na kidato cha kwanza.

Mhandisi Ndikilo  ametoa agizo hilo wakati wa ufunguzi wa  kikao cha chaguzi za shule kwa wanafunzi kutoka shule za msingi za mkoa wa Pwani waliofaulu mtihani wa darasa la saba wanaopaswa kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza.

Katika kikao hicho kilichowajumuisha  wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa, Wabunge, wakuu wa shule na wadau wengine wa  elimu  mkoa wa Pwani, Mhandisi Ndikilo ametumia fursa hiyo kueleza kuwa suala  la kukamilisha ujenzi wa vyumba  vya madarasa, matundu ya vyoo na miundo mbinu mingine  katika shule inapaswa kufanywa kwa ushirikiano wa Viongozi  wote na wadau wa elimu ili wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari waweze kupata  nafasi.

“Nendeni mkatekeleze maelekezo haya ili  wanafunzi waliokosa nafasi ya kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka 2019 katika chaguo la kwanza  kutokana  na uhaba wa vyumba vya madarasa waweze kuchaguliwa  na kuanza masomo katika awamu ya pili mwezi Februari” amesisitiza mhandisi ndikilo.

Mhandisi Ndikilo amewataka  wakuu wa Wilaya kwenda kukaa na watendaji wao wanaohusika na maswala ya elimu kutafuta ufumbuzi wa kuzisaidia shule zilizofanya  vibaya kwenye matokeo  ya mitihani ya taifa ya darasa la saba ili kuhakikisha kuwa hazirudii kupata matokea hafifu katika mitihani hiyo ijayo.

Kuhusu kudhibiti suala la mimba kwa wnafunzi mashuleni,  Mhandisi Ndikilo amewaagiza Wakuu wa Wilaya kuchukua hatua  kwa wale wote  ambao wamewapa mimba wanafunzi na kusababisha wakatishe masomo yao.

“Hakikisheni kuwa wahusika wanakamatwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria “ amesema Mhandisi Ndikilo na kuongeza kuwa “natoa rai kwa  viongozi wa Serikali za mitaa  na watendaji wote kuhakikisha kuwa  yeyote yule atakaejihusisha  na vitendo vya kumaliza kesi za wanafunzi wanaopewa mimba mashuleni kwenye maeneo yao,  nao wakamatwe  na kuchukuliwa hatua kali za kisheria”.

 Mkoa wa Pwani umefanya uchaguzi wa jumla ya wanafunzi 23,270 waliofaulu  masomo ya elimu ya msingi kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza ambapo kati yao wavulana ni 10,835 na wasichana ni 12,335. Ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 66.9 mwaka 2017 hadi kufikia asilia 77.79 mwaka huu na kuuwezesha Mkoa kushika nafasi ya 11 kitaifa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • toto slot
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77