• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo awaagiza Wakuu wa Wilaya Kuwahamasisha wananchi Kujiunga na CHF Iliyoboreshwa.

Posted on: June 26th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist, amewaagiza wakuu wa Wilaya zote za Mkoani hapa kuanza mara moja kuhamasisha wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii ulioboreshwa ili kusaidia serikali kufikia azma yake ya kutoa huduma za afya kwa wananchi wote kwa kutumia bima ya afya.

Mhandisi Ndikilo ametoa agizo hilo katika kata ya Miono iliyoko wilaya ya Bagamoyo wakati wa uzinduzi wa mfuko wa CHF iliyoboreshwa katika Mkoa huo mwanzoni mwa wiki hii.

Aidha mewataka wakuu hao wa Wilaya kushirikiana na viongozi wa kata kuhamasisha wananchi kuona umuhimu wa kujiunga na mfuko huo kwani umeboreshwa na kuongeza wigo ambao utamwezesha mwanachama kutibiwa katika hospitali zote ndani ya Mkoa huo tofauti na kipindi cha nyuma ambacho kilikuwa kinamlazimisha mwanachama kupata matibabu katika halmashauri anayotoka au alikojiandikishia.

Ametoa muda wa mwezi mmoja kwa halmashauri ambazo bado hazijaanza kutekeleza mpango wa uhamasishaji wananchi kuijiunga na CHF iliyoboreshwa kuanza zoezi hilo mara moja na kumfikishia taarifa ofisini kwake kabla ya tarehe 30 mwezi ujao ikionyesha namna ambavyo wamehamisisha wananchi kujiunga na mfuko huo.

“Napenda kutoa wito na kuziimiza halmashari ambazo hazijaanza  utekelezaji wa CHF iliyoboreshwa kuhakikisha wanaanza mwezi  huu wa juni 2019  na nipate taarifa rasmi ifikapo tarehe31 julai 2019 kwamba utekelezaji wa CHF iliyoboreshwa  umeanza kazi kwenye halmashauri hizo” alisema Mhandisi Ndikilo

Akiongea  kwa niaba ya wakuu wote wa wilaya za Mkoa huo , mkuu wa wilaya ya Mafia Shaibu Mnunduma amemhakikishia mkuu huyo wa Mkoa kuwa watasimamia kikamilifu mpango huo na kuhakikisha kila mwananchi anajiunga na mfuko huo.

Kwa upande wao baadhi ya wakazi wa kata ya Miono wameipongeza serikali kufanyia maboresho mfuko wa afya ya jamii kwa ili uweze kusaidia na kunufaisha wananchi wengi.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.