• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Ndikilo awataka waakazi wanaoishi Mabondeni kuhama na kuhamia maeneo yaliyo Salama

Posted on: March 17th, 2020

MKuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo amewataka wakazi wanaoishi maeneo ya mabondeni ambayo yana athari kubwa kwa mvua ,huko Muhoro na Chumbi ,Wilayani Rufiji kuhamia maeneo ya yaliyo salama kwako ili kujiepusha na maafa na madhara makubwa kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

Amesema ,hadi sasa maafa tayari ni makubwa na takwimu zilizofika mkoani hadi sasa ni takriban hekta 6,600 za mashamba na makazi ya watu zimeathirika ,kituo cha afya kimezingirwa na maji hakitoi huduma pamoja na kaya 3,500 zimekumbwa na maafa hayo.

Ndikilo alitoa kauli hiyo, baada ya Mwenyekiti wa kijiji cha Muhoro Magharibi, Amin Mnyimwa wakati akitoa kilio chao kuhusu mafuriko yalivyowaathiri na kukubali wahamishwe maeneo mengine ili kunusuru maisha yao.

Mhandisi Ndikilo alieleza, kutokana na athari hiyo kamati ya usalama Mkoa  na Chama Cha Mapinduzi (CCM)kimelazimika kwenda kujionea hali halisi ya majumba ,mazao mbalimbali kuzama katika maji.

Aidha alisema kuwa serikali inafanya juhudi za kuwahamisha na kukamilisha taratibu ya kuzungumza na wakala wa misitu (TFS) ambayo ipo chini ya Wizara ya maliasili na utalii.

Pia alifafanua kuwa,wataangalia namna ya kuhamisha shule na kituo cha afya .

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Rufiji,Juma Njwayo alithibitisha kuwa, eneo hilo halifai kabisa kuishi kabisa kutokana tatizo la mafuriko ya mara kwa mara.

Nae mwenyekiti wa kijiji cha Muhoro, Muharami Mkumba alibainisha, kijiji hicho kina vitongoji vinne kati yake vitatu vimekumbwa na adha ya maji na kaya 580.

Katika hatua Nyingine Mhandisi Ndikilo  ametoa wito kwa wakazi wa Rufiji kuendelea kuchukua tahadhari  kwani wataendelea kupata maji mengi kutokana  na kufunguliwa kwa mabwawa ya Mtera na Kidatu na Mvua zinaendelea kunyesha Nyanda za juu Kusini.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Pwani yaenedelea Kuzalisha Ajira Kuumuunga Mkono Mhe Rais Kupitia Uwekezaji wa Viwanda

    January 05, 2026
  • Hakikisheni Mradi wa bwawa la maji Kidunda Hausimami _ Dkt Mwigulu

    January 02, 2026
  • Zaid ya Ajira 4,000 Kuzalishwa Bagamoyo kufuatia Makampuni Sita Kusini Mikataba Bemc Sez.

    December 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98