• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo awataka Wahandisi wote wa Halmashauri za Mkoa wa Pwani kusimamia Vizuri Miradi ya Ujenzi

Posted on: February 8th, 2019

Mkoa wa  Pwani  umepokea  jumla  ya  shilingi  Bilioni 4.5 kwa ajili ya  Ujenzi wa Hospitali  za  Wilaya  katika  Halmashauri za  Kibaha Mji, Halmashauri  ya  Wilaya  ya  Kibaha  na  Kibiti, ambapo  kila halmashauri  imepatiwa  shilingi  billioni  1.5  kwa ajili ya  ujenzi  wa  hospitali hizo.

Akizungumza wakati  alipotembelea  ujenzi wa Hospitali  ya  Halmashauri  ya  Mji  Kibaha, Lulanzi  Kata ya  Picha ya  Ndege , kwenye  ziara yake  inayoendelea  ya  ukaguzi  wa  Miradi  ya   Maendeleo. Mhe. Mkuu wa Mkoa  wa Pwani Mhandisi  Evarist Ndikilo  alisema  kukamilika kwa Hospitali  hizo  kutaondoa  kero  ya  kutembea  umbali  mrefu kufuata matibabu.

Kila  hospitali  inatarajiwa  kugharimu billioni  1.5 matarajio  yetu  ni  kuona  ujenzi  unakamilika  kwa  muda  uliopangwa  na  sio  kuanza  mradi  na kisha    kusuasua  “alisema  Mhandisi Ndikilo.

Aidha, alisema  kuwa fedha  zote  zinazoelekezwa  katika  miradi hiyo muhimu  zitumike  kwa  wakati  na matumizi  yaliyopangwa.

Aidha, Mhandisi Ndikilo  aliwaasa Wahandisi wa Halmashauri ya Mji Kibaha na   Serikali  ya  Mkoa  huo  kujiwekea  utaratibu wa kutoka  Maofisini  kwenda  kutembelea  mradi  bila   kusubiri ziara za  Viongozi ndio  watembelee.

Katika hatua nyingine  Mhandisi Ndikilo aliwataka  wataalam wa mazingira  wa Halmashauri  ya Mji kibaha  kupanda miti  katika hospitali  hiyo  ili  kuweka  mazingira  mazuri  katika maeneo ya  hospitali  hiyo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe. Assumpter Mshama kwa upande wake  alitoa  rai  kwa jamii kushirikiana  na  Serikali  katika  kutatua changamoto  zinazoikabili  Sekta  ya  elimu  na  kujitolea  kwenye  miradi  ya  maendeleo.

Pia  Diwani  wa Kata ya  Picha  ya  Ndege Robert Machumbe  alieleza  kuwa, nia  ya  Serikali  ni kuwaletea  wananchi  mabadiliko  chanya  ya kimaendeleo na  amefafanua  kwamba  eneo hilo  itakapojengwa  hospitali  hiyo ya Wilaya  lina  ukubwa wa kekari  25.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.