• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo azipongeza Halmashauri za Mkoa wa Pwani kupata hati Safi.

Posted on: May 20th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo amezipongeza Halmashauri zote za Mkoa huo kwa kupata hati safi kwa mwaka 2017/2018.

Akifungua mafunzo ya siku moja ya kuzijengea uwezo Kamati za Ukaguzi za Halmashauri za Mkoa wa Pwani Mhandisi Ndikilo alisema taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali - CAG inaonesha kuwa halmashauri zote tisa za mkoa huo zimepata hati safi na akazipongeza kwa hatua hiyo.

Hata hivyo, mhandisi Ndikilo alisisitiza kuwepo usimamizi thibiti katika halmashauri ili kuhakikisha hoja za ukaguzi ambazo zimekuwa zikijirudia zifungwe kwa kukamilisha mapungufu yaliyopo.

Mhe. Mhandisi Ndikilo amezitaja baadhi ya hoja hizo kuwa ni ukosefu wa hati za malipo wakati wa Ukaguzi huku nyaraka hizo zikitolewa maelezo kuwa zilichukuliwa na taasisi zingine kama vile Taasisi ya kupambana na kudhibiti Rushwa - TAKUKURU pamoja na Polisi kwa hatua za utekelezaji wa majukumu yao.

“kwa kuwa taasisi hizo zipo Mkoani hapa, ni wazi kuwa nakala ya nyaraka hizo zinaweza kupatikana au zikaletwa akazifanyia kazi Mkaguzi kisha zikarudishwa tena kwenye taasisi hizo kuendelea na uchunguzi wao” alishauri mhandisi Ndikilo.  

Akizungumzia umuhimu wa Mafunzo ya kuzijengea uwezo Kamati za Ukaguzi za Halmashauri, mkuu huyo wa Mkoa wa Pwani aliwaeleza washiriki kuwa watumie fursa hiyo kujadili namna watakavyoweza kuondokana na hoja za miaka ya nyuma ambazo hazijafungwa pamoja na changamoto nyingine zinazowakabili katika utendaji wao wa kazi ili Mkoa uendelee kupata hati safi.

“Ni matumaini yangu kuwa mada mbalimbali zitakazotolewa zitakumbusha wajibu wa utekelezaji wa majukumu yenu kama wajumbe wa kamati za ukaguzi na vipi kamati hizi zina mchango mkubwa kwa kila mshiriki katika kufanikisha malengo ya Halmashauri” alifafanua Mhandisi Ndikilo.

Aidha alisema kuwa mafunzo hayo yameandaliwa kama moja ya mikakati ya mkoa na Taifa ya kupambana na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika utekelezaji na usimamizi wa miradi ya maendeleo kwa Halmashauri na akaongeza kuwa lengo kuu la kuundwa kamati za ukaguzi katika Halmashauri ni kumsaidia Mkuregenzi kuzuia hoja zisitokee na kupendekeza namna bora ya kuwepo udhibiti wa ndani.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.