• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Pwani ashuhudia utiaji wa saini wa mikata 25 yenye thamani ya zaid biln 11.6 ya TARURA

Posted on: August 19th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ameshuhudia utiaji wa saini wa mikataba 25 yenye thamani ya zaidi ya sh. Biln 11.6 kati ya Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (TARURA) mkoa huo na wakandarasi watakaotekeleza miradi hiyo.

Thamani ya mikataba hiyo ya miradi ya ujenzi wa barabara ni sawa na asilimia 37 ya bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 ambayo ni zaidi ya Biln 31.

Meneja wa TARURA Mkoa wa Pwani Mhandisi Leopold Runji ameeleza hayo Agost 19 Mjini Kibaha katika hafla fupi iliyohudhuriwa na Mameneja wa Wilaya hiyo, wakuu wa Wilaya pamoja na baadhi ya wakandarasi watakaotekeleza miradi hiyo.

Mhandisi Runji amesema bajeti ya mwaka 2024/2025 vyanzo vya fedha hizo ni kutoka Mfuko wa barabara sh. Biln 7.5, tozo Biln 14.5, Mfuko wa Jimbo Biln 4.5 fedha za miradi ya Maendeleo sh. Milion miatatu na Mfuko wa dharura (kimbunga Hidaya) sh. Biln 1.9.

Akizungumza katika hafla hiyo Kunenge amesema hayuko tayari kuvunja mikataba na mkandarasi atakayekuwa kikwazo katika utekelezaji wa mradi badala yake atamshughulikia katika eneo hilo.

Kunenge amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakapofanya ziara katika Mkoa huo anatakiwa kupokea shukrani kutoka kwa wananchi na sio malalamiko ambayo inasababisha na wanaotekeleza miradi ya maendeleo.

Mkuu huyo wa Mkoa amewataka wakandarasi kufanya kazi zao kwa mujibu wa mikataba huku wakizingatia kwamba Mkoa huo ni wa viwanda na barabara zinatakiwa kuwa imara kurahisisha usafirishaji wa maligjafi na bidhaa kwenda viwandani.

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Hadija Nasri akizungumza kwa niaba ya wakuu wengine wa Wilaya amesema wako tayari kwenda kusimamia miradi hiyo huku akiomba wakandarasi hao kuzingatia ulupaji wa Kodi ambazo zinakwenda kutatua kero za wananchi.

Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini Sylvestry Koka amewaomba wakandarasi kutekeleza miradi kulingana na fedha wanazopata Ili ikawe na manufaa kwa wananchi ambao ndio walipa kodi.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.