• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Pwani ataka Vijana 30,197 waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mkoa Pwani kwenda shule

Posted on: December 3rd, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amesitisha likizo kwa wakuu wa Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa huo hadi pale watoto waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza watakapokuwa wameaza masomo Januari 11 mwaka 2020.

Ndikilo alitoa agizo hilo  wakati akiweka jiwe la msingi katika shule ya msingi Chatembo iliyopo kata ya Mwandege Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga.

Alisema viongozi hao wanatakiwa kuhakikisha miundombinu ya madarasa na madawati vinakamilika na kuwawezesha wanafunzi waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza wanapata nafasi wote.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wanafunzi waliofaulu 30197 ambao wanatakiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2021, na kwa Wilaya ya Mkuranga ni 7360.

"Maelekezo yangu haya yatawahusu pia walezi wa Wilaya nao hawatakuwa na likizo tujitahidi watoto waliofaulu wote wapate nafasi ili waliofaulu waone ni neema sio adhabu" alisema

Katika hatua nyingine Ndikilo amemuagiza meneja wa Tanesco kuhakikisha shule hiyo ya Chatembo inaunganishiwa nishati ya umeme mapema shule itakapofunguliwa mwezi Januari umeme uwe unawaka

Alimtaka meneja wa wakala wa barabara za Vijijini na mjini (TARURA) kusimamia ukarabati wa barabara inayofika katika shule hiyo kuondoa kero ya uwepo wa madimbwi yanayohifadhi maji katikati ya barabara.

"Ikifika Januari nipate taarifa ya ukarabati wa barabara hii nimeishuhudia ubovu uliopo na nitakapoitisha kikao cha bodi ya barabara nipate majibu kama utakuwa bado hujatekeleza usifike kwenye hicho kikao" alisisitiza

Awali Afisa Elimu msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Jesi Mpangala alisema ujenzi wa shule ya msingi Chatembo ulianza mwezi Septemba mwaka huu na kwasasa umefikia hatua za umaliziaji.

Alisema kiasi Cha Shilingi Milion 400 kutoka Serikali kuu kilitolewa kwa ajili ya shule hiyo na vyumba 14 vya madarasa, jengo la utawala, matundu ya vyoo vya wanafunzi na walimu pamoja na nyumba za walimu vipo hatua ya umaliziaji.

Jesi alisema ifikapo Januari zaidi ya wanafunzi 2000 watahamia katika shule hiyo kutoka shule ya msingi Mwandege na kipaumbele kitakuwa kwa wale wanaoishi maeneo ya karibu na shule hiyo.

Aliishukuru Wizara ya maliasili kwa kukubali kutoa eneo hilo la ekari 15 kwa ajiili ya ujenzi wa shule hiyo.

Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega aliishukuru Serikali kwa kutoa fedha hizo zilizojenga shule hiyo na kupunguza mlundikano katika shule ya msingi Mwandege inayoelezwa kuwa na wanafunzi 4,215.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.