• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Serikali Kuendelea kutoa ya Miradi ya Maendeleo

Posted on: November 27th, 2022

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa ameeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ataendelea kutoa fedha za miradi mbalimbali ya Maendeleo huku akiagiza miradi yote kutekelezwa kulingana na thamani ya fedha hizo na kuwa kinyume na hapo wahusika watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Mhe. Majaliwa alieleza hayo wakati akitoa ufafanuzi kufuatia maombi mbalimbali yaliyowasilishwa kwake na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Mhe. Abdallah Ulega aliyewasilisha maombi mbalimbali ikiwa ni pamoja na la ujenzi wa hospitali mpya ya Wilaya, ujenzi wa kituo cha magari ya abiria (stendi ya mabasi) Kipala mpakani na Ujenzi wa barabara ya Mkuranga hadi Kisiju ambako kuna bandari ya kihistoria.

Kuhusu ombi la ujenzi wa barabara ya Kisiju, Mhe. Majaliwa aliiagiza TANROAD kufanya utaratibu wa kuiweka kwenye mpango na alifafanua kuwa kuna mpango wa kuipanua barabara ya Rangi tatu hadi Mwarusembe iwe ya njia nne na kuwa atahimiza ujenzi wa kituo cha mabasi cha Kipala mpakani huku akiiagiza TARURA kuhakikisha kuwa barabara zilizo chini ya uangalizi wake zinapitika wakati wote wa mwaka na baadae ziingizwe kwenye mpango wa kuwekewa lami.

Juu ya ombi la bandari yaKisiju, Waziri Mkuu alieleza kuwa atalifikisha hilo kwa Rais na akaelekeza Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi na madiwani wa Mkuranga kuondoa changamoto ya abiria kutoshushwa eneo la mti pesa.

Akiongelea mtandao wa umeme, Waziri Mkuu alieleza kuwa lengo ni vijiji vyote 125 vya Wilaya ya Mkuranga viwe na umeme na kwamba bei ya kuunganisha majumbani huko vijijini ni sh. 27,000,00.

Ili kuondoa changamoto ya migogoro ya ardhi, Waziri Mkuu aliwaasa wananchi kutenga ardhi kwa matumizi mbalimbali ikiwa ni pamoja na maeneo ya ujenzi wa viwanda na kuwa wasiuze ardhi ovyo na akaielekeza halmashauri kupima maeneo ili wananchi wapate hati.

Mhe. Majaliwa pia alitoa rai kwa viwanda vyote kutoa ajira kwa vijana wa maeneo vilipo viwanda hivyo.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwatumikia wananchi na kuwaletea maendeleo.

Mhe. Kunenge ametoa shukrani na pongezi hizo leo Novemba 27, 2022 wakati wa kumkaribisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa kuzungumza na wananchi wa Mkuranga.

Katika shukrani na pongezi zake, Mhe. Kunenge alibainisha kuwa inatokana na kazi kubwa anazozifanya Mhe. Samia za kuboresha hali ya wananchi wa Mkoa wa Pwani kimaendeleo na huku akitaja kuwa Mkoa wake umepewa kiasi cha sh. na sh. 6,820,000,000.00 za ujenzi wa madarasa 341 ya sekondari tayari kwa mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza kuanza masomo Januari 2023.

Kwa uapande wake Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Mhe. Abdallah Ulega aliwasilisha maombi mbalimbali ikiwa ni pamoja na la ujenzi wa hospitali mpya ya Wilaya, ujenzi wa kituo cha magari ya abiria (stendi ya mabasi) Kipala mpanai na Ujenzi wa barabara ya Mkuranga hadi Kisiju ambako kuna bandari ya historia.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.