• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Serikali yafuta makazi ya wavamizi hifadhi ya Mikoko Saadani

Posted on: June 7th, 2023

Serikali imeiagiza, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bagamoyo, kukifuta kitongoji cha Kajanjo chenye makazi 120 ya makambi ya wavuvi ndani ya hifadhi ya mikoko Saadani.

Agizo hilo limetolewa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge Juni 6, 2023 na kwenye mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Saadan, kata ya Mkange iliyopo wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani na akaelekeza kuwa utekelezaji wa wakazi hao kuondoka kwenye eneo hilo ufanyike na kitongoji hicho kufutwa mara moja.

Amesema agizo hilo ni utekelezaji wa maamuzi ya baraza la mawaziri kufuatia ushauri wa timu ya Mawaziri wanane wa kisekta pamoja na timu ya wataalam iliyoundwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kushughulikia migororo yote ya ardhi nchini ikiwamo na Mkoa wa Pwani.

Amesema kuwa baada ya kufanyika tathmini ya mgogoro wa ardhi katika hifadhi ya Taifa ya Saadan (SANAPA), Serikali imeelekeza wananchi wote waliovamia eneo la mikoko kuondoka mara moja.

Aidha ameamuagiza Kamishna Msaidizi wa Ardhi kufuta hati ya upimaji wa kiwanja namba 2. sehemu ya Uvinje, Saadan yenye ukubwa wa eneo la ekari 19.42 yenye usajili namba 47522.

Amesema sababu ya kufuta kwa hati hiyo ni kuwa vipo ndani ya mipaka ya hifadhi na havina maendelezo yaliyokusudiwa baada ya kuuziana kati ya mmiliki Chuma Bakari kwenda kwa mmiliki wa sasa East African Resorts Limited.

“TFS na Mkurugenzi wa Halmashauri nawaagiza mfute makazi ya 120 ya makambi ya uvuvi, yaondolewe ndani ya hifadhi ya mikoko na kitongoji hiki cha Kajanjo kifutwe, aidha namuagiza Kamishna Msaidizi wa Ardhi na Mkurugenzi mfute leseni ya kampuni ya Sea Salt na ipunguzwe ili kuondoa eneo la ekari 50 ambalo litamegwa na kupewa wananchi wa Uvinje wanaohamishwa kutoka kwenye hifadhi ya Mikoko,” amesema Kunenge.

Aidha, Kunenge ameitaka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania TFS, kuhakikisha inasimamia mapato yatokanayo na matumizi ya Malikale zilizopo ndani ya eneo la hifadhi ikiwemo majengo yanayotumika kama vile ya hoteli pamoja na nyumba za kulala wageni.

“Maagizo haya ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kuwatumikia wananchi kwa kuhakikisha migororo ya ardhi inatatuliwa kwa kuzingatia utawala wa sheria na kwa mujibu wa sheria ya nchi Rais ndiye msimamizi wa ardhi yote nchini kwa niaba yetu,” amesema Kunenge.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • toto slot
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77