• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Serikali yafuta makazi ya wavamizi hifadhi ya Mikoko Saadani

Posted on: June 7th, 2023

Serikali imeiagiza, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bagamoyo, kukifuta kitongoji cha Kajanjo chenye makazi 120 ya makambi ya wavuvi ndani ya hifadhi ya mikoko Saadani.

Agizo hilo limetolewa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge Juni 6, 2023 na kwenye mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Saadan, kata ya Mkange iliyopo wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani na akaelekeza kuwa utekelezaji wa wakazi hao kuondoka kwenye eneo hilo ufanyike na kitongoji hicho kufutwa mara moja.

Amesema agizo hilo ni utekelezaji wa maamuzi ya baraza la mawaziri kufuatia ushauri wa timu ya Mawaziri wanane wa kisekta pamoja na timu ya wataalam iliyoundwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kushughulikia migororo yote ya ardhi nchini ikiwamo na Mkoa wa Pwani.

Amesema kuwa baada ya kufanyika tathmini ya mgogoro wa ardhi katika hifadhi ya Taifa ya Saadan (SANAPA), Serikali imeelekeza wananchi wote waliovamia eneo la mikoko kuondoka mara moja.

Aidha ameamuagiza Kamishna Msaidizi wa Ardhi kufuta hati ya upimaji wa kiwanja namba 2. sehemu ya Uvinje, Saadan yenye ukubwa wa eneo la ekari 19.42 yenye usajili namba 47522.

Amesema sababu ya kufuta kwa hati hiyo ni kuwa vipo ndani ya mipaka ya hifadhi na havina maendelezo yaliyokusudiwa baada ya kuuziana kati ya mmiliki Chuma Bakari kwenda kwa mmiliki wa sasa East African Resorts Limited.

“TFS na Mkurugenzi wa Halmashauri nawaagiza mfute makazi ya 120 ya makambi ya uvuvi, yaondolewe ndani ya hifadhi ya mikoko na kitongoji hiki cha Kajanjo kifutwe, aidha namuagiza Kamishna Msaidizi wa Ardhi na Mkurugenzi mfute leseni ya kampuni ya Sea Salt na ipunguzwe ili kuondoa eneo la ekari 50 ambalo litamegwa na kupewa wananchi wa Uvinje wanaohamishwa kutoka kwenye hifadhi ya Mikoko,” amesema Kunenge.

Aidha, Kunenge ameitaka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania TFS, kuhakikisha inasimamia mapato yatokanayo na matumizi ya Malikale zilizopo ndani ya eneo la hifadhi ikiwemo majengo yanayotumika kama vile ya hoteli pamoja na nyumba za kulala wageni.

“Maagizo haya ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kuwatumikia wananchi kwa kuhakikisha migororo ya ardhi inatatuliwa kwa kuzingatia utawala wa sheria na kwa mujibu wa sheria ya nchi Rais ndiye msimamizi wa ardhi yote nchini kwa niaba yetu,” amesema Kunenge.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.