• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Serikali Yazindua Programu ya Stawishi Maiska kwa Ushirikiano wa TASAF na UNICEF

Posted on: October 29th, 2024

Serikali ya Tanzania, kupitia Mpango wa TASAF (Tanzania Social Action Fund), kwa kushirikiana na UNICEF, imezindua rasmi Programu ya Stawisha Maisha katika kijiji cha Mkiu, kata ya Mkamba, wilaya ya Mkuranga. Uzinduzi huu ulifanyika tarehe 29 Oktoba 2024, na unalenga kuboresha lishe kwa watoto wenye umri wa miaka 0 hadi 5, wanawake wajawazito, na mabinti balehe kwa kuwapatia elimu kuhusu lishe bora kupitia vipindi vya redio.

Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Shedrack Mziray, alieleza kuwa mradi huu ni sehemu ya juhudi za kupunguza utapiamlo katika kaya zinazohusishwa na mpango wa TASAF. "Kupitia mpango huu, tutakuza rasilimali watu na kuwezesha kaya kujinasua kutoka kwenye umaskini kwa kuzingatia elimu ya lishe bora watakayopatiwa," alisema Mziray.

Aidha, aliongeza kuwa redio zinazotumia nishati ya jua zitatumika kuwahamasisha wanajamii kushiriki mijadala kuhusu lishe bora na kutoa elimu na burudani. Kipindi hiki kitatolewa mara moja kwa wiki kwa kipindi cha miezi sita.

Akiongea kwa  niaba ya uongozi wa Mkoa wa Pwani,  Mratibu wa TASAF Mkoa Roseline Kimaro alisisitiza kuwa serikali ya mkoa inaendelea kuimarisha uchumi wa kaya za wanufaika kupitia mpango wa TASAF kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, ikiwemo UNICEF. Kimaro alieleza kuwa mkoa unatekeleza mikakati iliyowekwa na serikali ili kuboresha lishe na kupunguza utapiamlo unaosababisha udumavu kwa watoto.

Nae katibu Tawala wa Wilaya ya Mkuranga, kwa upande wake Omary Mwanga, alitoa shukrani kwa TASAF na UNICEF kwa mchango wao katika mpango wa lishe bora. Pia Pia aliwahamasisha wananchi wa wilaya ya Mkuranga kushiriki kikamilifu katika mpango huu ili kuleta matokeo chanya katika kaya zao na kujikinga dhidi ya udumavu. "Serikali imewekeza kwa ajili yetu, hivyo tuhakikishe tunapata thamani ya vifaa na elimu tunayopata," alisema Mwanga.

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga ni miongoni mwa halmashauri 18 zilizochaguliwa kutekeleza mpango huu wa majaribio wa Stawisha Maisha. Katika utekelezaji huu, vikundi 30 vimeundwa katika kata 13 na vijiji 19, ambapo wanakutana mara moja kwa wiki kusikiliza vipindi vya redio vyenye maudhui ya lishe bora na afya kwa ujumla.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC Komba awahimiza Wananchi na Watumishi wa Mkoa wa Pwani Kutekeleza kwa Vitendo maono ya Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

    May 26, 2025
  • Tangazeni Miradi ya Serikali : Msigwa

    May 24, 2025
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwni afunga rasmi Mashindano ya UMITASHUNTA Nganzi ya Mkoa

    May 24, 2025
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Apokea Majiko ya Gas 200 kwa ajili ya Watumishi Wapya

    May 23, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.