• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Shule za Msingi zilizofanya Vibaya kwenye Matokeo ya Darasa la saba zichunguze :RC Ndikilo

Posted on: December 18th, 2020

MKuu wa mkoa wa Pwani,mhandisi Evarist Ndikilo amewaagiza wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri ya Rufiji,Mkuranga na Chalinze kuzifuatilia shule za msingi zilizofanya vibaya katika maeneo yao na kuhakikisha watapatia ufumbuzi changamoto zinazochangia kushuka kwake kitaaluma.

Aidha amezielekeza halmashauri, kumaliza kujenga miundombinu ya madarasa ifikapo january 28 mwakani 2021 ili kuhakikisha wanafunzi 7,850 watakaokosa nafasi madarasani awamu ya kwanza wanaweza kuendelea na masomo bila changamoto ya madarasa .

Akifungua kikao cha wadau wa elimu mkoani Pwani Desemba 17,2020,Ndikilo alisema haiwezekana kuona Serikali inaongeza jitihada za kuboresha mazingira ya elimu huku tukishuhudia shule zinafanya vibaya bila kujua changamoto na kuzitatua .

Alieleza kati ya shule kumi zilizofanya vibaya kimkoa 2020 ,Ni pamoja na Kitapi kata ya Mbwara wilaya ya Rufiji wastani wa alama 81,Kibesa ya Mkuranga wastani 78.88 na Pera ya Chalinze yenye wastani 78.8.

Ndikilo amewaelekeza pia,wadhibiti wa ubora wa shule kwenda kukagua shule hizo ili ziweze kuimarishwa na kuinua hali ya kitaaluma .

Hata hivyo alipongeza mkoa huo kupanda ufaulu wa matokeo ya shule ya msingi kutoka asilimia 85.13 mwaka 2019 na kufikia asilimia 86.99 mwaka 2020 na kuwa nafasi ya 9 kitaifa .

"Tujitahidi tuweze kupanda pia kimkoa tutoke kundi la kumi bora na tufikie tano ama tatu bora ,walimu wapo na serikali inaendeleza elimu bila malipo hivyo hakuna sababu ya kushika mkoa" alifafanua Ndikilo.

Aliomba wadau mbalimbali kujitokeza kushirikiana na serikali kuchangia masuala ya kielimu ili kumaliza changamoto zilizopo za madawati na upungufu wa madarasa.

Pamoja na hilo ,kaimu katibu tawala wa mkoa huo Abdulrahman Mdimu ,alieleza licha ya kupanda ufaulu lakini lipo suala la mdondoko bado ni changamoto kubwa ambapo wanafunzi 157 hawakumaliza shule na hawajulikani walipo.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.