• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

TASAF imekuwa mkombozi kwa wananchi maskini Pwani-RC Ndikilo

Posted on: June 29th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Pwani mhandisi Evarist Ndikilo amewataka  walengwa wanaoendelea kupokea ruzuku ya fedha toka mfuko wa maendelea ya jamii TASAF kuhakikisha wanazitumia fedha hizo vizuri kwa kujiwekea  malengo maalum ya kimaendeleo .pamoja na kujiwekea akiba

Rai hiyo ameitoa wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya ajira za muda zinazotekelezwa na walengwa wa TASAF Wilayani Bagamoyo ambapo alitembelea mradi wa upandaji wa Miti ya Mikoko pembezoni mwa Pwani ya bahari ya Hindi katika Kijiji cha Kondo kilichopo Kata ya Zinga na mradi wa Ujenzi wa Lambo uliopo katika Kijiji cha Rupungwi Kata ya Mandera.

“Ni rai yangu kwa walengwa wanaoendelea kupokea ruzuku hii ya fedha toka mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF kuhakikisha wanazitumia fedha hizo vizuri kwa kujiwekea malengo maalum ya kimaendeleo na kuyatimiza ikiwemo kuboresha makazi yenu kwa kujenga nyumba bora, niwakumbushe kuweka akiba lakini pia kuwekeza katika kufungua miradi endelevu ili mpango utakapofikia tamati msirudi katika umasikini mliokuwa nao awali bali msonge mbele mkiwa tayari na uwezo wa kujitegemea kiuchumi anaongeza” Alisema Mhandisi Ndikilo.

Aidha aliendelea kusema kuwa, TASAF imekua mkombozi kwa Wananchi masikini katika Mkoa wa Pwani ambapo umewezesha baadhi ya familia   kupata milo mitatu kwa siku, kuanzisha miradi midogo midogo ya biashara na hivyo kujijengea uwezo wa kujitegemea kiuchumi, kuboresha mahudhurio ya wanafunzi mashuleni na kwa watoto walio chini ya miaka mitano wanaotimiza masharti ya afya nao pia mahudhurio yao kliniki yameboreka anasema na Wananchi wameweza kukata bima ya afya kupitia mfuko wa Afya ya jamii CHF, bima inayowasaidia kujipatia uhakika wa matibabu wao na familia zao.

Akiwa katika Kijiji cha Rupungwi, Mhandisi Evarist Ndikilo, pia alipata nafasi ya kushiriki zoezi la ugawaji fedha za ruzuku kwa Walengwa 75 wanaopatikana katika Kijiji hicho na kutumia fursa hiyo kuongea na Wananchi wa Kata ya Mandera akiwahimiza juu ya kuacha vitendo vya uhalifu kila mmoja kuwa mlinzi wa Mwenzake, kushiriki katika shughuli za ulinzi shirikishi ili kuhakikisha eneo hilo halitajwi katika vitendo vya kihalifu vya kuvamia magari na kupora maduka kwa magobore kama ilivyo sasa.

Katika Hatua nyingine Mhandisi Evarist Ndikilo ameupongeza mpango wa ajira za muda kwa walengwa wa TASAF Wilayani Bagamoyo, unaotekelezwa na mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF.

Mpango wa   ajira ya muda kwa walengwa wa mpango wa TASAF Wilayani Bagamoyo ilianza utekelezaji wake Mwaka 2015 ambapo katika mwaka wa fedha 2015/2016 jumla ya Tshs.1,292,761,000.00 zililipwa kwa Kaya za walengwa 10,363, Wanawake wakiwa 8,614 na Wanaume 1,749 huku miradi 14 ikiibuliwa na kutekelezwa na Walengwa na kwa Mwaka 2016/2017 miradi 98 iliibuliwa, ambapo Kaya 9,265 zilishiriki kufanya kazi za ajira kwa muda na kulipwa kiasi cha 1,215,064,700.00 na kwa Mwaka 2017/2018 jumla ya miradi 103 iliibuliwa na kutekelezwa ambapo jumla ya Kaya 8,330 zimeshiriki kufanya kazi za ajira kwa muda na kulipwa Tshs. 723,856,000.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.