• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

TRA Pwani wekeni malengo ya kuongoza katika makusanyo ya Kodi Nchini:RC Ndikiloi

Posted on: December 19th, 2020


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe: mhandisi Evarist  Ndikilo ameitaka Mamlaka ya Mapato Mkoani Pwani kuweka malengo ya kuongeza ukusanyaji wa mapato na kukusanya kwa ufanisi.

"Inatia moyo kama kupitia kikao hiki tungesikia taarifa ya nafasi ambayo tumeshika katika ukusanyaji mapato ukilinganisha na mikoa mingine ya kikodi,Mkoa wetu umekuwa namba ngapi" alihoji Ndikilo.

Hayo ameyasema wakati Akifungua Mkutano wa Jukwaa la Kodi Mkoani Pwani jumamosi Desemba 19,2020 katika Ukumbi wa Ofisi yake.

Ndikilo ameitaka Mamlaka hiyo (TRA )Pwani kuwasilisha Takwimu za kuongezeka au kupungua kwa walipa Kodi. "Kupitia kikao hiki tungejua ulipaji Kodi unaongezeka au unapungua" Ameitaka pia kuwasilisha Takwimu na Orodha za namba za walipa kodi (TIN) za wanaofanyabiashara Pwani zilizohamishiwa Pwani kutoka mikoa mingine, "ni lazima wale wanaofanya Shughuli zao katika ardhi ya Pwani kulipia kodi Pwani" alisisitiza Ndikilo. Aidha ameitaka kuwasilisha orodha za walipa kodi ambao hawajahamisha TIN zao ili kufanyia kazi pale anapowatembelea.

Ameeleza kua kupitia takwimu hizo Mkoa ungejua utekelezaji wa maagizo yake ya kuhamishia TIN Pwani katika kuongeza makusanyo, inafurahisha kama leo katika kikao hiki tungepata taarifa hii alisema Ndikilo.

Akizungumzia kuhusu upanuzi wa Wigo wa Kodi Mkoani hapo Ndikilo ameitaka TRA kujipanga kwa ukusanyaji wa mapato kwenye eneo jipya la Kwala ambapo Mkoa umeomba kapewa ekari 4000 kwa ajili ya Shughuli za uwekezaji na Ujenzi Viwanda, ameongeza kuwa Mamlaka hiyo iangalie sasa Wilaya ya Mafia ambapo tayari kutakuwa na kivuko na hivyo kutaongeza Shughuli za uchumi,

Ametaja pia Ujenzi wa wa barabara mbili za Lami za TAMCO Mapinga na Makofia Mlandizi zitakazo unganisha wilaya zetu na Mkoa wa Dar es salaam vyote hivi vitahamasisha Shughuli za kiuchumi na hivyo ukusanyaji mapato Alisema Ndikilo.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.