• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Tumieni Vyomba vya Habari kujitangaza-Waziri Mkuu Majaaliwa

Posted on: August 30th, 2018

Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa kiwanda cha Biotech Tanzania kinachotengeneza dawa ya kuulia viuadudu   pamoja na bodi ya NDC, kutumia vyombo vya habari katika kuitangaza dawa inayozalishwa katika kiwanda hicho.

Hayo ameyasema  wakati wa ziara yake ya ukaguzi  aliyoifanya  katika kiwanda hicho cha Biotech  kilichopo Mjini Kibaha Mkoani Pwani.

“Katika ukaguzi nilioufanya  bado nimekuta kuna lundo la dawa ambayo  haijapata soko, hivyo nauagiza uongozi wa kiwanda hiki pamoja na bodi ya NDC  kutumia vyombo vya habari kuitangaza dawa inayozalishwa katika kiwanda hiki ili wananchi wajue”alisema mhe. Majaliwa

Akiwa  kiwanda hapo  Mhe. Majaliwa alisema kuwa amefarijika kukuta uwekezaji mkubwa katika kiwanda  hicho ikiwa ni utekelezaji  wa   sera ya Serikali ya awamu ya tano na kuongeza kuwa Serikali imejipanga kuhakikisha inashirikiana na mataifa rafiki ikiwemo Cuba katika kuhakikisha wanawekeza hapa nchini.

Mhe. Majaliwa aliendelea kusema kuwa kiwanda hicho  ni kikubwa Barani Afrika na ujenzi wake ulitokana na mkopo kutoka Serikali ya Cuba.

Aidha ametoa wito  kwa taasisi  mbalimbali na wananchi kufika kiwandani hapo na kununua dawa hiyo  kwa ajili ya kuulia mazalia ya Mbu wakiwemo mbu waenezao ugonjwa wa Malaria .

Katika Hatua nyingine Mhe. Majaliwa ameiagiza Mikoa yote Tanzania Bara  iendelee  na kampeni za kutokomeza malaria kwa kuwahamasisha  wananchi kuweza kununua na kutumia dawa hiyo  ya kuulia viuadudu..

Nae Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo alisema kuwa Mkoa tayari ulishafanya uhamasishaji wa ununuzi  na utumiaji wa dawa kwa jamii ambapo katika  kampeni hiyo wafanyabiashara wa Mkoa wa Pwani walichangia lita 300 ambapo  dawa hizo ziligawanywa kwa wananchi bure siku ya uhamasishaji.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77