• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Ukuaji wa Sekta ya Uwekezaji Umetokana na juhudi zilizofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan: Ulega

Posted on: December 21st, 2024

WAZIRI wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema ukuaji katika sekta ya uwekezaji umetokana na juhudi zilizofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutangaza nchi kwenye mataifa mbalimbali.

Ameyasema hayo Dec 20 wakatai alipokuwa akifunga maonyesho ya nne ya biashara na uwekezaji yaliyofanyika Mjini Kibaha Mkoani Pwani ambayo yamehusisha bidhaa mbalimbali zinazozalishwa viwandani.

Ulega amemshukuru Rais kwa kufungua uchumi hapa nchini ambapo kumekuwa na uwekezaji mkubwa unaendelea katika maeneo mbalimbali huku Mkoa wa Pwani ukiongoza kwa kuwa na wawekezaji wengi.

Amesema kutokana na kile kilichofanywa na Serikali ya awamu ya sita kumesababisha ongezeko la mitaji ambayo imefikia dola za kinarekani 42.1 jambo ambalo linazidi kuinua uchumi.

Pia amewataka watanzania kuhakikisha wanafika kipaumbele Cha kununua bidhaa zinazozalishwa hapa nchini kwani wawekezaji wengi wamekuwa wakitumia malighafi za ndani ya nchi.

Akizungumzia kuhusiana na Changamoto kwenye baadhi ya sekta amesema Serikali inaendelea na kutatua vikwazo vilivyopo na kwamba maboresho kwenye barabara yataendelwa kufanyika Ili ziweze kupitika muda wote.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameeleza kuwa tatizo la umeme katika mkoa huo linashughulikiwa kwa ufanisi kupitia ujenzi wa transfoma kubwa ya MVA 120 inayoendelea kujengwa katika eneo la Mbagala. Transfoma hii inatarajiwa kusaidia kusambaza umeme katika maeneo ya Mkuranga.

Aidha, mfumo wa umeme wa KV 400 utatoka kwenye substation ya Chalinze na utaunganisha maeneo mbalimbali, ukiwemo Chalinze hadi Kinyerezi, huku mfumo mwingine wa KV 220 ukikusudiwa kusambaza umeme maeneo ya Bagamoyo.

Kunenge amesema kuwa mradi huu utasaidia kumaliza changamoto za upungufu wa umeme, na kusababisha upatikanaji wa umeme wa kutosha katika mkoa wa Pwani.

Hii pia inatarajiwa kuwafaidi wawekezaji kwa kuwa sasa watapata umeme wa uhakika na hivyo kuwawezesha kuzalisha muda wote.

Pia ameomba Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwajengea Bomba la gesi ambalo litawafikia wawekezaji wa viwandani wenye uhitaji wa kutumia gesi.

Kwa upande wa washiriki wa maonesho hayo wameushukuru mkoa wa pwani kwa kuandaa maonesho hayo kwani yamewapa fursa kukutana na wateja wengi na kutangaza bidhaa zao pamoja na kubadilishana uzoefu baina ya wafanyabiashara.

“Nashukuru uwepo wa maonyesho hayo kwani yamenipa fursa ya kukutana na wateja wengi na kutangaza bidhaa zangu pamoja na kubadilishana uzoefu na wajasilimali wenzangu pia” lisema Afisa Masoko wa Kiwanda cha Dowercare Technology Lucia Msami.

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Pwani Masawa Masatu amesema uwepo wa maonyesho hayo umekuwa fursa kwao kutoa elimu kwa wananchi wengi walipotembelea Banda lao lililokuwa likitoa huduma muda wote wa maonyesho.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88
  • axl777