• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Viuadudu Shambani sasa Kuzalishwa Pwani

Posted on: September 22nd, 2023

Tanzania imeanza kuzalisha dawa ya kwanza ya kibaolojia kwa ajili ya kuua wadudu waharibifu wanaoshambulia mimea na mazao ya kilimo.

Kauli hiyo imetolewa leo septemba 21, 2023 na Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashantu kwenye kikao na waandishi wa habari kilichofanyika katika kiwanda hicho kilichopo Halmshauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani.

Ameelza kuwa dawa hiyo ni bidhaa ya pili ya viuatilifu hai ambayo inazalishwa na kiwanda cha BIOTECH ambacho pia kinazalisha Viuatilifu vya kuua viluwiluwi vya mbu.

“Tayari dawa hii imepata ithibati, imesajiliwa na Wizara ya Kilimo kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Afya za Mimea na Viuatilifu, hivyo nataka Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Taifa la NDC kusimamia kiwanda hiki ili kuhakikisha dawa hizo zinazalishwa kwa wingi na kuingizwa sokoni ifikapo mwezi Oktoba zianze kutumika katika msimu ujao wa kilimo," amesema Dkt. Kijaji.

Aidha, amesema tayari amefanya mazungumzo na Waziri wa Kilimo ili dawa hizo zianze kupatikana katika maduka yote ya pembejeo za kilimo nchini ili kuwawezesha wakulima kupata mazao mengi shambani.

Nae Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Maendeleo la Taifa NDC, Dkt. Nicolaus Shombe amesema wamepokea maelekezo hayo na kwamba utekelezaji wake unaanza mara moja.

Dkt. Shombe amesema kiwanda hicho kina uwezo wa kuzalisha viuatilifu vya kuua viluwiluwi vya mbu lita milioni sita za dawa kwa mwaka lakini kwa sasa wanazalisha dawa lita milioni moja hivyo wataongeza kasi ya kuzalisha dawa za kuua mbu lakini pia dawa za kuua wadudu wanaoshambulia mimea.

Kwa mujibu wa Waziri Dkt. Kijaji, Tanzania iliingia mktaba wa eneo huru la biashara barani Afrika kwa ajili ya kuuza bidhaa zake nje ya nchi na kwamba tayari wamefikia nchi saba kuuza bidhaa zake lakini pia tayari imeingiza bidhaa nne na hivyo kuanza kuzalishwa kwa bidhaa hiyo itaifanya Tanzania kuwa na bidhaa tano zinazouzwa ukanda wa Afrika

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.