• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Wajumbe wa Bodi ya Barabara Mkoani Pwani wamlalamikia mkandarasi wa kampuni ya Ujenzi wa barabara ya Skol

Posted on: December 10th, 2019

Wajumbe wa bodi ya Barabara ya Mkoa wa Pwani imetaka kupitiwa upya kwa mkataba wa mkandarasi wa barabara ya Tamco Kibaha kwenda Mapinga wilayani Bagamoyo wa kampuni ya Skol kutokana na kusuasua kuanza ujenzi wa sehemu ya barabara hiyo.

Wakizungumza kwenye kikao cha bodi ya barabara ya mkoa huo baadhi ya wajumbe walisema kuwa wanashangaa kuona mkandarasi huyo tangu apewe kazi hakuna alichokifanya hivyo kuona kuwa kuna haja ya kuangaliwa upya kwa mkataba wake.

Akizungumza kwenye kikao hicho mkuu wa mkoa Mhandisi Evarist Ndikilo alisema kuwa kutokana na wajumbe kutoa malalamiko juu ya kampuni hiyo kwenye ujenzi huo ambapo zimepewa kampuni mbili za Skol na Southen Link ni vema wakala wa barabara Nchi Tanroads kuliangalia kwa kina suala hilo.

Ndikilo alisema kuwa kuna haja sasa ya mkataba wake kuangaliwa ikiwezekana kazi hiyo ipewe kampuni nyingine ili iendelee na ujenzi huo kutokana na kampuni hiyo kutoonyesha uwezo.

"Nitafanya ziara kutembelea ujenzi wa barabara hiyo ili kujionea hali halisi ya ujenzi huo ambapo ujenzi huo wa kilometa tano zimepewa kampuni hizo lakini kipande walichopewa kampuni hiyo ya Skol bado hakijajengwa kabisa," alisema Ndikilo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Assumter Mshama alisema kuwa ujenzi huo unakatisha tamaa kutokana kutoonyesha kama kuna kinachofanyika kwenye eneo alilopewa mkandarasi huyo.

Mshama alisema kuwa ucheleweshaji wa ujenzi huo itachelewesha utekelezaji wa muda wa ujenzi wa mradi huo ambao unajengwa kwa awamu.

Naye meneja wa Wakala wa barabara Tanroads mkoa wa Pwani Mhandisi Yudas Msangi alisema kuwa kwa sasa wamewasiliana na makao makuu yao kupitia kitengo cha masuala ya kisheria ili kuangalia mkataba huo ikiwezekana wavunje mkataba huo.

Msangi alisema kuwa tayari wamemuandikia barua nne kuhusiana na uwezo wake lakini inaonyesha kama kuna tatizo hivyo wanaendelea na hatua mbalimbali ili kumalizana naye.

Kwa upande wake mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini Silvestry Koka alisema kuwa barabara hiyo ni muhimu sana kwani inaunganisha wilaya za Kibaha na Bagamoyo.

Mbunge wa jimbo la Bagamoyo Dk Shukuru Kawambwa alisema kuwa barabara hiyo ni mbaya sana kwani imeharibika kwa kiasi kikubwa hivyo ni vema wakandarasi hao wakaongeza nguvu ili kukamilisha ujenzi huo.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.