• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Wakulima wa Korosho Pwani waanza kulipwa Fedha Zao.

Posted on: February 16th, 2019

Jumla ya kilo  5,623,277 za korosho zenye thamani ya zaidi ya shilingi bilion 16. 324 tayari zimelipwa kwa wakulima Mkoani Pwani.

Aidha  Wakulima wa Korosho 24,543, wenye kilo 14,370,844 kati ya kilo 21,130, 598 zilizopo kwemye Maghala makuu wameshahakikiwa sawa na asilimia 68.

Hayo yamesemwa Wilayani  Mkuranga na Rufiji wakati na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo  alipo kuwa kwenye ziara yake  katika Wilaya hizo.

Alisem a  zoezi  la uhakiki  ilikuwa mwisho Februari 15  lakini Mkoa wa Pwani umeomba kuongezewa muda hadi rerbruari 28 mwaka huu, kwa kuwa umechelewa kuanza zoezi hilo kutokana na chagamoto mbalimbali ikiwapo kuchelewa kwa kutolewa kwa bai ya korosho daraja la 11 ambapo ilielekezwa kuwa bei hiyo ni asilimia themanini ya bei ya korosho Daraja la Kwanza.

Mhandisi  Ndikilo aslise kuwa , Korosho zilizokusanywa mwaka  huu ni kilo 23,066,238 ambapo kilo 21,130,598, sawa na asilimia 91.6 zipo kwenye Maghala makuu

“Ghala kuu la Mwanambaya zipo kilo 6,549,204, Kibiti kilo 2,650,529, TANITA kilo 1,705,621, kurasini SCALABLE kilo 6,325,237, Kiegeani –Mafia kilo 213,593 na kilo 6,488,690 zipo kwenyew Maghala madogo ya AMCOS”alisema Mhandisi Ndikilo.

Nae pia Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji, Shangwe Twamala alisema kuwa Mkoa wa Pwani ulichelewa  kuanza ukusanyaji wa Korosho, kwani  ukusanyaji  huo  ulianza Oktoba 30,2018 tofauti na Mikoa ya Lindi ,Mtwara na Ruvuma ambayo yenyewe ilianza mapema.

“Baadhi ya Korosho kuwepo kwenye Maghala ya AMCOS ni changamoto kubwa sana, sasa ili kutatua changamoto hii tunashauri malipo kwa wasafirishaji  yafanyike kwa wakati ili waweze kufanya kazi hii”

“Kama itawezekana tutumie  magari ya jeshi kuhamisha Korosho kutoka kwenye AMCOS kwenda Kwenye Maghala ya kurasini” alieleza Twamala.

Nae Mkuu wa  Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga alisema kuwa zaid ya tani 4,000 za korosho kati ya 6,000 walizokusanya zipo chini ya sakafu ambapo wamezitandikia maturubai lakini wanahofia unyevu unyevu zisije kuharibika.

Pia Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Juma Njwayo   kwa upande wake alisema kuwa, wakulima Wilayani hapo wamelipwa korosho sh. Bilioni 3.7 kwa wakulima 2,665.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.