• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Wananchi wa Pwani watakiwa kuchukua tahadhari juu ya homa ya "Dengue"

Posted on: June 7th, 2019

Wananchi wa Mkoa wa Pwani wametahadharishwa kujikinga na ugonjwa wa homa ya Dengue ambapo hadi sasa kuna wagonjwa 42 wanaougua ugonjwa huo.

Hayo yalisemwa mjini Kibaha na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo kwenye kikao maalumu cha kamati ya ulinzi na usalama na wadau mbalimbali wakiwemo kamati ya amani inayoundwa na viongozi wa madhehebu mbalimbali na viongozi wa afya na Wilaya ambazo zimeguswa na ugonjwa huo.

Ndikilo alisema kuwa uwepo wa ugonjwa huo uliripotiwa Mei 8 mwaka huu ambapo mgonjwa wa kwanza alibainika wilayani Kibaha ambaye alitokea Ubungo  Msewe Jijini Dar es Salaam.

"Wilaya inayoongoza kuwa na wagonjwa wengi wa ugonjwa huu ni Mkuranga ambapo ina wagonjwa 35, Rufiji 4 na Kibaha 3 hali ambayo wananchi na wataalamu wa afya washirikiane ili kuuwa mbu na mazalia yao," alisema Ndikilo.

Alisema kuwa ili kukabiliana na ugonjwa huo viongozi wa dini wanapaswa kutoa elimu juu ya ugonjwa huu pia vipeperushi vya ugonjwa huo viwekwe kwenye mbao za matangazo,maofisi mbalimbali na sehemu zenye watu wengi.

Kwa upande wake mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani Dk  Gunini Kamba alisema kuwa ugonjwa huo unasambaa kwa kasi hivyo wananchi  wanapaswa wachukue  tahadhari.

 Dk Kamba alisema kuwa vipimo kwenye vituo vya afya serikali gharama zake ni bure na kwa vile vya watu binafsi zisizidi 15,000.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Assumter Mshama kuwa elimu itolewe sehemu mbalimbali hasa zile zenye mikusanyiko ya watu ili wapate uelewa juu ya ugonjwa.

Pia  Mkuu wa Wilaya ya Kibaha mstaafu Halima Kihemba alisema kuwa kuwe na utaratibu wa uchafu unaokusanywa sehemu mbalimbali kutupwa sehemu husika ili kupunguza mazalia ya mbu.

Homa ya dengue hutokana na mtu kuumwa na mbu aina ya Aedes mwenye virusi vya ugonjwa huo ambao unaweza kuhatarisha maisha ya watu.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.