• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Watumishi Fuateni Utaratibu ,Sheria na Kuwasilisha Nyaraka ili Kuepuka Hoja za Ukaguzi-RC Kunenge

Posted on: June 14th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Pwani mhe. Abubakar kunenge, Juni 14, 2021 ameshiriki kikao Maalumu cha Baraza la Waheshimiwa Madiwani kupitia na Kujadili Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) Mwaka 2019/2020 Wilayani Mafia.

Akizungumza kwenye kikao hicho Mhe.Kunenge ametumia wasaa huo kuwapongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mafia kwa kupata hati safi. Amewataka kufunga hoja za ukaguzi kabla hazijafika kwenye hatua ya kutakiwa kujieleza ili kuepuka kuzalisha hoja zaidi.

Amemtaka Mkurugenzi na Vyombo vya Dola Wilayani hapo kuanza uchunguzi na kuchukua hatua kwa watumiaji (Watumishi) wote ambao wametumika kuzalisha hoja. Amewataka watumishi kufuata utaratibu, kuheshimu sheria na kuwasilisha nyaraka katika Matumizi yote ya Fedha ili kuepuka kuzalisha Hoja.

"Sitopenda kuona hoja zinaongezeka na kujirudia kwa mwaka ujao" alisema Kunenge

Ameitaka Halmashauri hiyo kubuni vyanzo vipya vya mapato kusimamia ukusanyaji wa mapato na kudhibiti matumizi.

Amewataka pia Viongozi wote wa Nafasi za Kisiasa na Kitaalamu Wilayani hapo kushirikiana katika kutekeleza Majukumu yao, "Wafanya maamuzi pokeeni ushauri wa Wataalam ili mfanye maamuzi sahihi" amesema Kunenge.

Amewaeleza amekuja kufanya kazi Mkoa wa Pwani, na kuwataka Wataalamu wote Mkoani hapo kuandaa Taarifa yenye Fursa zote Muhimu katika sekta zilizopo Mkoani hapo ikiwemo vyanzo vya Mapato, Huduma za Kijamii, Viwanda Kilimo, Biashara, Utalii, Uvivu ili kupata hali ilivyo kwa sasa na kuainisha maeneo yote yanayohitaji maboresho.

Ameeleza kupitia Taarifa hiyo watakuwa na Siasa nzuri ya Kiuchumi ya kutumia kidogo kupata kingi, Ameeleza kuwa kufanyia Kazi vipaumbele hivyo muhimu na kuvifanyia kazi kutaleta maendeleo ya haraka ya Wilaya na Mkoa huo.

Mhe. Kunenge ameeleza kuwa ili kuleta maendeleo ya haraka ya Mafia ni lazima Viongozi na Wafanyakazi Wilayani hapo kuondokana na dhana ya Mafia ni eneo la pembezoni lenye shida, amewataka kuanza kunadi upya Wilaya ya Mafia.

Kuhusu Changamoto ya uhaba wa watumishi, Taa kwenye Kiwanja cha Ndege, Tozo za magari mara mbili kwenye Bandari ya Nyamisati na Kilindoni mafia amesema ameyachukua na atayafanyia kazi.

Pamoja na mambo mengine Akiwa Wilayani hapo Mhe. Kunenge amepokea Taarifa ya Wilaya, kuzungumza na Baraza la Madiwani na Kutembelea Kiwanda kikubwa cha kuchakata Samaki cha TANPESCA Ltd.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.