• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Wiki ya Uwekezaji na Biashara Pwani Kufanyika Octoba 5-10 mwaka huu.

Posted on: September 9th, 2022

Wiki ya Uwekezaji  na Biashara Mkoani Pwani,inatarajia kufanyika octoba 5-10 mwaka huu ,ikiwa ni maonyesho ya tatu tangu kuanzishwa kwa maonyesho hayo mwaka 2018.

Katika maonyesho hayo washiriki 520 wanatarajia kushiriki moja kwa moja na watu 15,000 watatembelea kujionea bidhaa zinazozalishwa kupitia viwanda na fursa zinazopatikana Mkoani humo.

Mkuu wa mkoa wa Pwani Mhe. Abubakari Kunenge, akizungumza na waandishi wa habari Mkoani hapo kuhusiana na maonyesho hayo ,aliwaeleza kwamba yatafanyika kwa ushirikiano na Shirika linalohudumia viwanda vidogo vidogo( SIDO )Kanda ya Mashariki na TANTRADE wanashughulika na uratibu ambapo yatafanyika katika Viwanja vya Stendi ya zamani Mailmoja Kibaha Mjini .

Alieleza ,awali maonyesho hayo yalikuwa yafanyike September 14-19 Lakini kutokana na Zoezi la sensa waliona kusiwe na muingiliano hivyo kutumia nguvu zote kufanikisha Zoezi hilo muhimu la Kitaifa.

Vilevile,watakaotembelea maonyesho wataenda kutembelea kongani za viwanda kuona namna mkoa ulivyojinabu kupitia sekta hiyo.

Kunenge alielezea ,pia kutakuwa na kongamano la uwekezaji ambalo litaonyesha fursa za viwanda na uwekezaji Mkoani Pwani.

"Mkoa kwa sasa una zaidi ya viwanda 1,460 kati ya hivyo 90 ni vikubwa na kila siku idadi inaongezeka, Tunawakaribisha wawekezaji kuja kuwekeza "

"Rais Samia Suluhu Hassan anaendelea kuweka msukumo katika kuvutia wawekezaji nchini,Na tukio hili linakwenda kutafsiri kwa vitendo namna tunavyounga mkono juhudi za Serikali"alifafanua Kunenge.

Akizungumzia suala la TIN number ili kuongeza mapato ya mkoa alisema ,kwasasa wanadhibiti wenye viwanda Kuwa na Namba hizo mkoa wa Dar es salaam ambapo awali walikuwa wakinufaisha mkoa mwingine wakati wakiwa wamewekeza Mkoani hapo.

"Tuna Taasisi 17 ambazo tunashirikiana nao kusikiliza kero za wawekezaji na kuboresha Mji wetu,Nimeseme tuu katika maongezi yetu yanazaa matunda wengi wanalipa na kufanya usajili Mkoani kwetu, ngazi ya mkoa tunalifanyia kazi na linaleta tija ,"alisema Kunenge.

Hata hivyo ,alisema kwasasa wanapanga Maeneo mbalimbali ya mkoa Kuwa Mji wa kisasa ikiwemo Mji wa Kwala ,kupanga kisiwa cha Mafia ,suala hili ni la muda na michakato inaendelea.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.