• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

YALIYOJIRI WAKATI WA KIKAO CHA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA MH. SELEMAN JAFO NA WAKUU WA MIKOA TANZANIA BARA TAREHE 19 DESEMBA, 2017 JUU YA MASUALA YA LISHE KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA TAMISEMI, (SOKOINE HOUSE)

Posted on: December 20th, 2017

#Kwa mara ya kwanza  Serikali katika mwaka wa fedha 2017/2018 imetenga kiasi cha Bil.11 kwaajili ya kufanikisha masuala ya Lishe ikimaanisha kila mtoto ametengewa tsh.1000, nawasihi wakuu wa mikoa tukasimamie hili kwa karibu. Mh. Jafo

#Kupitia Mitandao ya Kijamii kama Blog na tovuti Mh. Rais anafatilia na anaona kazi kubwa mnayofanya, Mh. Rais, lakini pia Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wanatambua kazi  kubwa mliyo nayo nawasihi tuendelee kufanya kazi. Mh. Jafo

#Hali ya Lishe Duni imetamalaki nchini ambapo  Udumavu ni asilimia 34.4, Uzito mdogo asilimia 4.5 na Ukondefu asilimia 13.5 hili ni jambo zito sana lazima tuwe na Nguvu ya Pamoja. Mh. Jafo

#Maelekezo ya Makamu wa Rais tusaini Mikataba na tukasimamie suala la Lishe kiufasaha kwani viongozi wetu wa awamu ya tano wanaimani kubwa sana na timu hii ya Wakuu wa Mikoa. Mh. Jafo

#Fedha hizi zilizotengwa hazitakuwa kwa Mkuu wa Mkoa, hivyo kawaelekezeni Wakurugenzi na kuwasimamia juu ya fedha zilizotengwa zikafanye kazi iliyokusudiwa hususani masuala ya lishe. Mh. Jafo

#Watendaji katika Maeneo yenu, Muwaelekeze ili wawashauri wamama wajawazito kutumia Folifolic acid ili kupunguza tatizo la Lishe duni. Mh. Jafo

#Tumetenga Bil .256 kwa ajili ya ununuzi wa dawa, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi katika bajeti ya mwaka 2017/2018 Mh. Jafo

#Tumefanikiwa kuanzisha mfumo wa kieletroniki wa  GoTHoMIS  wa Ukusanyaji wa taarifa na udhibiti wa mapato katika vituo vya Afya vilivyo chini ya Mikoa na Mamlaka za serikali za Mitaa. Mh. Jafo

#Wizara imefanikisha upatikanaji wa fedha za kugharamia ujenzi na upanuzi wa vituo vya Afya 2011 kuwezesha huduma za dharura kwa wajawazito. Mh. Jafo

#Tumefanikiwa kuajiri Wahasibu wasaidizi 535 kwa ajili ya vituo vya afya Nchini. Mh. Jafo

#Tumefanikiwa kuongeza wigo wa mpango wa Malipo kwa Ufanisi (RBF) kutoka Mkoa mmoja mwaka 2016 hadi Mikoa 8 katika mwaka, 2017. Mh. Jafo

#Tumefanikiwa kuwaajiri Madaktari 206 waliokuwa wameomba kwenda kufanyakazi nchini Kenya na kuajiri watumishi wengine wa kada za Afya wapatao 3,152. Mh. Jafo

#Tunawapongeza kwakutumia Force Accout, ambapo kote nilikopita nimeona jinsi kazi inavyokwenda wengi wapo kati ya asilimia 70, 80 hadi tisini na kitu, nimatumaini yangu ile tarehe 30 Desemba, 2017 tuliokuwa tumejiwekea tutakuwa tumekamilisha kazi ya ujenzi. Mh. Jafo

#Tumeamua kutumia Force account kwasabu moja kubwa, kwanza kuondosha urasimu ulikuwepo lakini Majengo hayakuwa na Viwango lakini pia kuinua uchumi wa wananchi wetu na kwakweli wanafanya kazi nzuri sana. Mh. Jafo

#Jambo lakipaumbele kwa Wakurugenzi Bil. 20 ikatumike na tusije kusikia fedha imeenda kwenye Bakaa, wapo DMOs waliotukwamisha huko kipindi kilichopita kwakweli hatukumvumilia na hata atakaye tukwamisha hatuwezi kumvumilia atapewa majukumu mengine anayo yaweza. Mh. Jafo

#Wakurugenzi Watoe taarifa kwa Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Wilaya Waziwasilishe kwa Mh. Mkuu wa Mkoa zaidi ya yote Mkuu wa Mkoa awe na (ownership) ya miradi yote iliyopo katika Mkoa wake hata wanapokuja wageni wa Kitaifa wawe na nafasi nzuri yakuisemea wakati wa utoaji wa taarifa. Mh. Jafo

Imeandaliwa na

OR - TAMISEMI

DODOMA

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.