• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Ziara ya NDC yaleta Matunda Pwani

Posted on: January 17th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, ambaye pia ni Skauti Mkuu wa Tanzania, Rashid Mchatta, ameongoza kikao kilichofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, kufuatia hitimisho la ziara ya siku tano ya wanafunzi kutoka Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC). Ziara hiyo, iliyoanza tarehe 13 Januari 2024 na kuhitimishwa tarehe 17 Januari 2024, imeleta matokeo chanya katika maendeleo ya Mkoa wa Pwani, hasa kwenye sekta za kilimo, usalama, uwekezaji wa viwanda, utalii, elimu, na uongozi.

Akizungumza katika kikao hicho, Rashid Mchatta alieleza kuwa ziara hiyo imeonyesha njia za kuboresha miundombinu ya uzalishaji, kukuza kilimo cha umwagiliaji, kuboresha mazao ya mifugo, na kuongeza matumizi ya teknolojia katika kilimo. Aidha, aliipongeza NDC kwa mchango wao wa kubainisha fursa za kiuchumi na kutoa mapendekezo ya hatua za kuimarisha uchumi wa Mkoa wa Pwani.

“Ziara hii imeleta mwanga mpya wa jinsi ya kuboresha maendeleo ya mkoa wetu, hasa kwa kubaini maeneo muhimu kama utalii, uchumi wa bahari, na uzalishaji wa kilimo kwa tija zaidi,” alisema Mchatta.

Kwa upande wake, Kiongozi wa msafara huo, Brigedia Jenerali Charles James Ndiege, ambaye pia ni Mkufunzi Elekezi kutoka NDC, alisema kuwa ziara hiyo ilikuwa ni sehemu ya mafunzo ya kimatendo baada ya kujifunza nadharia darasani.

“Hii ni ziara ya kimafunzo ili kutekeleza sera za kiusalama, kiuchumi, na kijamii kwa vitendo. Tumechagua Mkoa wa Pwani kwa sababu unaongoza kwa maendeleo ya viwanda nchini. Tumetembelea viwanda mbalimbali na kutoa mapendekezo yetu ya kuboresha zaidi uzalishaji,” alisema Brigedia Jenerali Ndiege.

Aliongeza kuwa walitembelea ofisi za wilaya za Bagamoyo na Chalinze ambapo walijifunza kuhusu masuala ya kijamii, elimu, afya, na huduma za maji, huku wakishuhudia mifano bora ya usimamizi wa fedha unaochochea maendeleo kwa jamii.

Mhandisi Shabani Seleman Kambabhe, mmoja wa washirikiwa mafunzo  kutoka NDC, alieleza kuwa ziara hiyo imeongeza maarifa ya washiriki kuhusu jinsi ya kuboresha sera na kuzitekeleza kwa ufanisi.

Ziara hiyo iliwapa washiriki hao nafasi ya kutembelea maeneo ya uzalishaji kama Kiwanda cha kuchata nyama chaTanChoice, Shamba la uzalishaji wa mbegu za Malisho  (Vikuge), Kiwanda kuunganisha Magari(GFA), Kiwanda cha kuzalisha Viwatilifu (Tanzania Biotech), Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI), Taasisi ya Uzalishaji wa Chanjo za Mifugo (TVI), pamoja na vivutio vya kihistoria kama Kaole na Mji Mkongwe Bagamoyo.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.