Posted on: November 21st, 2023
Leo Novemba 20,2023 watumishi wa Ofisi ua mkuu wa Mkoa wa Pwani wamepatiwa mafunzo ya Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Taasisi (PIPMIS) na yale ya
Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi kwa Watumishi wa U...
Posted on: November 20th, 2023
Utekelezaji wa kufundisha somo la kiingereza (English) kuanzia darasa la kwanza kufuatia mabadiliko ya mtaala wa elimu ya Msingi 2023 utaanza rasmi Januari, 2024.
Mwenyekiti wa Maandalizi ya mafunz...
Posted on: November 11th, 2023
Coast City Marathon (2023) awamu ya pili kwa kushirikiana na hospital ya Rufaa ya mkoa Tumbi,imekusanya zaidi ya milioni kumi kati milioni 240 zinazohitajika kwa ajili ya ujenzi wa jengo la mama na mt...