Posted on: January 2nd, 2025
Mkuu wa Mkoa Pwani Mhe Abubakar Kunenge ametembelea na Kukugua shehena hizo zilizokamatwa katika kiwanda cha kutengeneza Alluminium Profile cha LN Features kilichopo Mkuranga.
Akizungumza Baada ya ...
Posted on: January 2nd, 2025
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, ambaye pia ni Skauti Mkuu Tanzania, Rashid Mchatta, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera.
Dkt....
Posted on: December 30th, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amekabidhi msaada wa vyakula, vinywaji, na vifaa vingine katika Kituo cha Karibu Nyumbani kilichopo Boko Timiza, Wilayani Kibaha, Mkoa wa Pwani. Msaada hu...