Posted on: June 7th, 2023
Wakazi wa Changwahela ‘A’ Wilayani Bagamoyo wameitikia agizo la kutekeleza maelekezo ya Serikali la kuondoka katika eneo walilolivamia na kufanya shughuli za kibinadamu zenye uharibifu wa Mazingira.
...
Posted on: June 7th, 2023
Serikali imeiagiza, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bagamoyo, kukifuta kitongoji cha Kajanjo chenye makazi 120 ya makambi ya wavuvi ndani ya hifadhi ya mikoko Saada...
Posted on: June 5th, 2023
Serikali imewaagiza wananchi takribani 5000 waliyovamia na kuishi katika Ranchi ya Zanzibar Bagamoyo RAZABA, kuondoka mara moja katika eneo hilo na kuikabidhi Wakala wa Usimamizi wa Misitu Tanzania TF...