Posted on: March 30th, 2023
Katibu Tawala Mkoa Wa Pwani ,Rashid Mchatta amewaasa watumishi wa mkoa huo kufanya kazi kwa weledi ,kufuata miongozo ya utumishi wa umma ili kutimiza malengo ya kimaendeleo na kuinua uchumi wa mkoa.
...
Posted on: March 6th, 2023
Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Zuwena Jiri amewaasa maafisa wanaohudhuria Mafunzo ya utekelezaji wa Mwongozo wa ushirikiano kati ya wazazi na walimu kutumia maarifa watakayopata kuimarisha ushirikiano ka...
Posted on: March 6th, 2023
Mkuu wa mkoa wa Pwani Alhaj Abubakar Kunenge ameelekeza taasisi wezeshi Mkoani humo kuwa tayari mda wote kutatua changamoto zozote zinazoweza kujitokeza katika utekelezaji wa mradi wa Kongani ya SINOT...