Posted on: February 8th, 2025
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imefanya ziara ya siku mbili mkoani Pwani kwa lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Katika siku ya kwanza ya...
Posted on: February 4th, 2025
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani inaungana na Watanzania wote kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutunukiwa Tuzo Maalumu ya Kimataifa ya The Glo...
Posted on: February 3rd, 2025
Mkuu wa Wilaya ya ya Kibaha, Mhe. Nikson Simon, amesisitiza umuhimu wa upendo katika utekelezaji wa majukumu ya watumishi wa Mahakama Mkoa wa Pwani ili kuhakikisha haki inatendeka wakati wa kushughuli...