Posted on: August 29th, 2025
Wilaya ya Rujiji imepata tiba ya changamoto mgogoro wa ardhi kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Nyamwage kwa kuligawia kila kundi eneo la kuendeshea shughuli zake.
Katika kutekeleza hil...
Posted on: August 27th, 2025
Mkuu wa wilaya ya Kibiti Mhe. Kanali Joseph Samwel Kolombo amesema Wilaya hiyo imejipanga kutimiza malengo waliyowekewa na serikali ya uzalishaji wa korosho kufikia tani 14,000 kwa mwaka huu wa 2025.
...
Posted on: August 27th, 2025
Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Pili Mnyema amewaelekeza wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti kuwa wabunifu kuibua Miradi mbalimbali ya Maendeleo kulingana na fursa zilizopo kwenye kwenye eneo lao...