Posted on: June 15th, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Pwani,Alhaji Abubakari Kunenge amemuapisha Petro Magoti (Juni 14) kuwa mkuu mpya wa Wilaya ya Kisarawe na kumuagiza kuhakikisha anaweka kipaumbele katika sualazima la ulinzi na usalama...
Posted on: June 12th, 2024
Chama cha watu wenye ualbino Tanzania (TAS) kimeiomba Mahakama kutoa adhabu kali kwa watu wanaokutwa na hatia ya kuwakata viungo au kuwaua watu wenye Ualbino.
Hayo yamesemwa leo Juni 12, 2024 mjini...
Posted on: June 10th, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ametaka usimamizi madhubuti wa Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii ili usaidie kukabili changamoto mbalimbali za kiafya ndani ya jamii.
Kunenge...