Posted on: August 5th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe Abubakar Kunenge amsema kuwa kanda ya mashariki imedhamilia kuwa kanda ya mfano katika maenesho ya nane nane kwani kanda hiyo imekuwa na bahati na kuwa na fursa nyingi...
Posted on: August 5th, 2022
Halmashauri za Mkoa wa Pwani zimetakiwa kuhakikisha zinatoa fursa kwa maofisa michezo na utamaduni kujiendeleza kielimu ili kuboresha taaluma zao waweze kuinua vipaji kwenye Halmashauri zao.
...
Posted on: August 4th, 2022
Kamisaa wa Sensa 2022, Anne Makinda ametoa ufafanuzi kwamba ,siku ya sensa Agosti 23 mwaka huu haitakuwa siku ya mapumziko badala yake kila mmoja ataendelea na shughuli za kimaendeleo ,pia amesema , t...